BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
- Thread starter
-
- #21
Jaribu hiyo ya sasa mkuuMzee picha hazionekani.
Sawa mkuuAhsante kwa taarifa...
Do you proof that, nikiweka chumbani kwangu sitangatwa na mbu?Wakuu mzigo unawasubiri
Utapunguza uwezekano wa kuutang'atwa mkuu maana mashine itadeal na mbuDo you proof that, nikiweka chumbani kwangu sitangatwa na mbu?
Kwenye proof andika Prove kisha anza sentensi upyaDo you proof that, nikiweka chumbani kwangu sitangatwa na mbu?
Do/does + noun/pronoun + verb/adverbial phrase ...Do you proof that, nikiweka chumbani kwangu sitangatwa na mbu?
Tatizo lenu hivi Vitu China havina bei, mkishavileta Bongo mna over value ndio sababu mnakaa na mzigo muda mrefu.Lamp hizi za kuchaji zinasaidia sana hasa kipindi hiki cha umeme wa mgao, Ikishachajiwa itakusave kipindi umeme umekata
Unataka Nikuuzie bei gani nduguTatizo lenu hivi Vitu China havina bei, mkishavileta Bongo mna over value ndio sababu mnakaa na mzigo muda mrefu.