Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Amin kwamba kakaDah! Kiwanda hicho. Halafu bei ni karibu na bure kabisa.
Mkuu hongera kwa uchakarikaji Mzee wa PEP. Aminia sanaAmin kwamba kaka
Per day Kama 30+ unaenda nayo home
Fantastic
Welcomz
Hahahaaahaa PEP ilikula Ela yangu km 150kMkuu hongera kwa uchakarikaji Mzee wa PEP. Aminia sana
Kwelii kakaVijana mnaotafuta kazi,chukueni kitendea kazi hicho mjidai mjini,sio mnang'ang'ania kazi za ofisini tu.
Wapo bize na mfumo wa ajira za tamisemi.Vijana mnaotafuta kazi,chukueni kitendea kazi hicho mjidai mjini,sio mnang'ang'ania kazi za ofisini tu.
Ndo nayauza kaka yamebaki mawiliNilinunue halafu nikuajiri, utaniletea hesabu bei gani?
Hao hao si ndo wakuletee wateja wengine.Ndo nayauza kaka yamebaki mawili
Yalikuwa 10 vijana Sasa wapo chimbo wanashkuru
Yaliyobaki mkuu fanyia kazi mwenyeweNdo nayauza kaka yamebaki mawili
Yalikuwa 10 vijana Sasa wapo chimbo wanashkuru
Kwel kaka Ila nimeona ni share fursa na humuHao hao si ndo wakuletee wateja wengine.
Yaliyobaki mkuu fanyia kazi mwenyewe