Nauza Toyota VX na Land Rover

Nauza Toyota VX na Land Rover

....halafu hizi tabia za kusema Gari lilikuwa linatumiwa na mwanamke zinakera sana! Mantiki yake ni nini? anakuwa halitumii au analitia shombo au inakuwaje vile?

ETI MWANAMKE MTUNZAJI!!:smile-big::smile-big:
 
pls timiza vigezo na masharti ya wanunuzi weka picha ,bei imetembea km ngapi namaanisha full detail
 
....halafu hizi tabia za kusema Gari lilikuwa linatumiwa na mwanamke zinakera sana! Mantiki yake ni nini? anakuwa halitumii au analitia shombo au inakuwaje vile?

mhhhhhhhhhhh hata mie hapa nimejiuliza maana ya kusema lilikuwa linatumiwa na mwanamke ndo nn?Au kuna Biology kama bonus nn?
 
Julieth jina zuri, mi similiki pesa nyingi hivyo siwezi kununua hayo magari lakini vipi naweza kukupigia simu angalau tukafahamiana?
 
Julieth jina zuri, mi similiki pesa nyingi hivyo siwezi kununua hayo magari lakini vipi naweza kukupigia simu angalau tukafahamiana?

Dah! mkuu, kumbe na wewe ni wa kitambo? Pozi za kutongoza kwa "Jina lako Zuri sana" ni za enzi zetu zileeee!...lolz
Komaa naye mkuu, anaweza "akajibu"
 
Tuanzishe tutorial za kuweka matangazo maana naona wengine hawajui maana ya tangazo ingawa kuna usemi 'biashara matangazo'.
 
Sasa hata kama kaenda kupiga picha mbona sizioni sasa au kakuta zimenunuliwa? Katumia kama mwanamke ili aonekane muaminifu....
 
Back
Top Bottom