Bei gani? Weka bei ili nikija PM tusipoteze muda.Wakuu salama,
Nauza tyres4 mpya kabisa zina muda wa miezi 3 na rim zake mpya kabisaa. Tyres ni Goodyear ni imara sana. Ukitaka tyre peke yake nitakuuzia na rim pia. Tyre size ni 215/45/R17 na rim ni size 17. Karibuni pm kwa biashara nipo DSM, mkoani natuma[emoji3]
Bei gani? Weka bei ili nikija PM tusipoteze muda.
TZD 11 ipo....mpaka kigimbi kirudi.. 😀Sasa mkuu ukiuza tyres mjini tunaendaje😛
bei yako kubwa sana mkuu,size 15 tairi ukilia mpya around 110 unapata,ss ww moja unauza 150.
Rim zte nne, around 400 had 300 unapata.
jitafakar na bei yako
bei yako kubwa sana mkuu,size 15 tairi ukilia mpya around 110 unapata,ss ww moja unauza 150.
Rim zte nne, around 400 had 300 unapata.
jitafakar na bei yako
Hii size uliyotaja/namba ni sahihi kweli? embu cheki upya....Wakuu salama,
Nauza tyres4 mpya kabisa zina muda wa miezi 3 na rim zake mpya kabisaa. Tyres ni Goodyear ni imara sana. Ukitaka tyre peke yake nitakuuzia na rim pia. Tyre size ni 215/45/R17 na rim ni size 17. Karibuni pm kwa biashara nipo DSM, mkoani natuma[emoji3]
Tyres 600,000/=
Rim. 500,000/=
Mazungumzo mengine inbox [emoji392]
hongera kwa kuuza,utakua umempataNishauza tayr wanaojua tairi na rim hawachelewi, mkuu au unataka haya ma rim?View attachment 1953275
hyo size kakosea sio sahihi,huwez valisha ist size 17.Size hyo ni ya gari kubwa.Hii size uliyotaja/namba ni sahihi kweli? embu cheki upya....
Kivipi uwezi valisha?hyo size kakosea sio sahihi,huwez valisha ist size 17.Size hyo ni ya gari kubwa.
hyo size kakosea sio sahihi,huwez valisha ist size 17.Size hyo ni ya gari kubwa.
Kivipi uwezi valisha?
hongera kwa kuuza,utakua umempata
Hello!. KUNA RIM SIZE 14 TSHS. 300,000/=Rafiki yangu alikuwa anahitaji ila kasema hizo kubwa
Anahitaji 185/70R14 au pengine 195/60R15