INAUZWA Nauza Tyres na Rim

Bei gani? Weka bei ili nikija PM tusipoteze muda.
 

Kwamba mmeshindwa kufika bei? Rim inanata sana hio asee[emoji119][emoji119]
 
Reactions: Lee
bei yako kubwa sana mkuu,size 15 tairi ukilia mpya around 110 unapata,ss ww moja unauza 150.
Rim zte nne, around 400 had 300 unapata.
jitafakar na bei yako
 
bei yako kubwa sana mkuu,size 15 tairi ukilia mpya around 110 unapata,ss ww moja unauza 150.
Rim zte nne, around 400 had 300 unapata.
jitafakar na bei yako

Nishauza tayr wanaojua tairi na rim hawachelewi, mkuu au unataka haya ma rim?
 
bei yako kubwa sana mkuu,size 15 tairi ukilia mpya around 110 unapata,ss ww moja unauza 150.
Rim zte nne, around 400 had 300 unapata.
jitafakar na bei yako

Nakupa 700k kalete Rim kama hio hata za kichina unapata kwa 450-500k hio rim ni OG msumari huo, tair Goodyear bro[emoji28]
 
Hii size uliyotaja/namba ni sahihi kweli? embu cheki upya....
 
Mkuu kama unauza ist wewe uza nazo bei ongezea juu kwa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…