Nauza vitu mbalimbali

Mimi nimependa hicho kitanda kutoka dubai kwakweli ni kikali sanaa πŸ˜„
 
Me niemevutiwa na maneno yako ya ushawishi wa utani πŸ˜„
Karibu sana , Jamani mimi sio winga na mwezi ujao nitakuwepo Tabora na Mwanza kutembelea Ofisi kwa Ofisi .
Watu wa Tabora na Kwanza naomba msave namba yangu hii ni ya Whatssap pia kama Nizar
0675383292
0685237039
 
Mkuu uwe na amani, mwanaume mwenzetu amesema ana njaa, sisi wajibu wetu ni kumuungisha biashara yake ili afanikiwe na awasaidie wanaomtegemea.

Njaa haimaanishi kukosa chakula ila ni majukumu, mipango na malengo aliyonayo.
Wewe jamaaa NAOMBA usave namba yangu alati uje Whatsapp na screenshot ya ujumbe huuu.πŸ™
 
Karibu sana , Jamani mimi sio winga na mwezi ujao nitakuwepo Tabora na Mwanza kutembelea Ofisi kwa Ofisi .
Watu wa Tabora na Kwanza naomba msave namba yangu hii ni ya Whatssap pia kama Nizar
0675383292
0685237039
Mkuu huna li TV likubwa kama Hisense nch 58 ninunue chap
 
Duh haya sory sana kama nimekukwaza kwa hilo swali langu nililomuuliza
Usijali kaka ,mimi mwenzio winga ila kwenye Duka la baba yangu Mzazi .
Shida WATOTO wengi ambao kwao Angalabu anacho huwa hawawezi kufanya hichi .Ila mimi napenda Jamani.
Naamini nikimaliza Chuo tutaonana Dubai
 
Usijali kaka ,mimi mwenzio winga ila kwenye Duka la baba yangu Mzazi .
Shida WATOTO wengi ambao kwao Angalabu anacho huwa hawawezi kufanya hichi .Ila mimi napenda Jamani.
Naamini nikimaliza Chuo tutaonana Dubai
Safi, hongera endelea kupambana. vipi unaweza nutafutia ipad nzuri hata used kwa lk2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…