INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

Delivery Man

Senior Member
Joined
Jan 3, 2019
Posts
157
Reaction score
107
Wakuu Habari nauza hizi items zangu kwa dharula,nauhitaji mkubwa wa pesa kwa ajiri ya kugharamia matibabu.
LAPTOP HP
INTEL CORE i5 7th Gen
Os. Windows 10pro (activated)
Hdd 500GB
Ram 8GB
Display 15'6
Battery runtime 4hrs
Clean as new
inahitaji 520k only.

KITANDA CHA CHUMA DOUBLE DECKER KUTOKA UTURUKI
Futi 4×6 juuu
Futi 5 x 6 chini
Kina ngazi yake.
Kimenunuliwa ORCA Deco miaka mitatu iliyopita kwa gharama ya 550k ( hiki nadhani risiti ipo) kimekaa store zaidi ya mwaka bila kutumika..kinafaa sana kwa familia kubwa yenye vyumba vichache vya kulala
Nahitaji 230k ( kitarudishiwa rangi kwa mteja side bays imeshambuliwa na kutu)
Sikupata muda wa kupiga picha mapema zitatumwa kwa muhitaji


ALUMINIUM FOLDABLE TENT ( 10ft kwa 10ft)
Hili linafaa sana kwa mikutano ya njee,kwenye mashule,hospital au NgO's kwa ajiri ya kupokelea wageni,kufanyia registration n.k...Limeishii store kwa muda mrefu haina top cover
Linahitaji 450k.
Napatikana Dsm-Ubungo
0713498825

IMG_1957.jpg
IMG_1944.jpg
IMG_1948.jpg
20221207_131903.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu items zote hizo hapo...target ni kuraise a quick 1.5m kwa ajili ya matibabu ya someone so dearly to me.
Core i3 desktop ( nimetoa harddisk).

Two monitors 17' and 19'
4 tall boy speaker za LG
Humidifier mpya kabisa
Hp intel core i5 generation ya 7 very clean like new.

Amazon kindle reader with full ebooks (zipo mbili ya mtoto na mkubwa).

Samsung Tab 10.1' with total storage of 80GB ( ndio nayoitumia hivyo siwezi pata picha).

Kitanda cha chuma double decker 5×6 & 3 x6
Foldable aluminium square tent 100sqft.

Napatikana Ubungo DSM
0713498825

20221208_102814.jpg
20221208_102804.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Habari nauza hizi items zangu kwa dharula,nauhitaji mkubwa wa pesa kwa ajiri ya kugharamia matibabu.
LAPTOP HP
INTEL CORE i5 7th Gen
Os. Windows 10pro (activated)
Hdd 500GB
Ram 8GB
Display 15'6
Battery runtime 4hrs
Clean as new
inahitaji 520k only.

KITANDA CHA CHUMA DOUBLE DECKER KUTOKA UTURUKI
Futi 4×6 juuu
Futi 5 x 6 chini
Kina ngazi yake.
Kimenunuliwa ORCA Deco miaka mitatu iliyopita kwa gharama ya 550k ( hiki nadhani risiti ipo) kimekaa store zaidi ya mwaka bila kutumika..kinafaa sana kwa familia kubwa yenye vyumba vichache vya kulala
Nahitaji 230k ( kitarudishiwa rangi kwa mteja side bays imeshambuliwa na kutu)
Sikupata muda wa kupiga picha mapema zitatumwa kwa muhitaji


ALUMINIUM FOLDABLE TENT ( 10ft kwa 10ft)
Hili linafaa sana kwa mikutano ya njee,kwenye mashule,hospital au NgO's kwa ajiri ya kupokelea wageni,kufanyia registration n.k...Limeishii store kwa muda mrefu haina top cover
Linahitaji 450k.
Napatikana Dsm-Ubungo
0713498825View attachment 2438882View attachment 2438884View attachment 2438885View attachment 2438914

Sent using Jamii Forums mobile app
Pc laki4 na nusu njoo pm
 
Humidifier mpya 100k
Kindle reader for adults with full ebbok 200k ( nilinunua ebay $220).

Kind reader for kids with its pink cover 70k ( ina vitabu vya watoto na unaweza weka vitabu vingine).

LG Tall boy speaker 4 nahitaji 120k.

Core i3 desktop haina hddisk 150k.

Monitors zote mbili 100k
Smart hand scanner mpya 50k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom