INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

Wakuu Habari nauza hizi items zangu kwa dharula,nauhitaji mkubwa wa pesa kwa ajiri ya kugharamia matibabu.
LAPTOP HP
INTEL CORE i5 7th Gen
Os. Windows 10pro (activated)
Hdd 500GB
Ram 8GB
Display 15'6
Battery runtime 4hrs
Clean as new
inahitaji 520k only.

KITANDA CHA CHUMA DOUBLE DECKER KUTOKA UTURUKI
Futi 4×6 juuu
Futi 5 x 6 chini
Kina ngazi yake.
Kimenunuliwa ORCA Deco miaka mitatu iliyopita kwa gharama ya 550k ( hiki nadhani risiti ipo) kimekaa store zaidi ya mwaka bila kutumika..kinafaa sana kwa familia kubwa yenye vyumba vichache vya kulala
Nahitaji 230k ( kitarudishiwa rangi kwa mteja side bays imeshambuliwa na kutu)
Sikupata muda wa kupiga picha mapema zitatumwa kwa muhitaji


ALUMINIUM FOLDABLE TENT ( 10ft kwa 10ft)
Hili linafaa sana kwa mikutano ya njee,kwenye mashule,hospital au NgO's kwa ajiri ya kupokelea wageni,kufanyia registration n.k...Limeishii store kwa muda mrefu haina top cover
Linahitaji 450k.
Napatikana Dsm-Ubungo
0713498825View attachment 2438882View attachment 2438884View attachment 2438885View attachment 2438914

Sent using Jamii Forums mobile app
Side bed bei gani naomba picha kabisa Kama bado zipo
 
190, 000 nimkope mtu
Asante Boss wangu...hii ni hela nyingi unanipa na ni kweli nahitaji pesa kwa haraka sana ila nikiuza kwa 190k siwezi kufikia lengo la kuuza hizi items.
200k njoo uchukue kama kilivyo...
Hii double decker hakijachoka na sio local made ni imported ...ila kwa vile kimekaa store muda mrefu kinahitaji kufanyiwa service na usafi ambapo kwa 230k kila kitu kitu kingekuwa juu yangu
20221209_125008.jpg
20221209_124839.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
N
Asante Boss wangu...hii ni hela nyingi unanipa na ni kweli nahitaji pesa kwa haraka sana ila nikiuza kwa 190k siwezi kufikia lengo la kuuza hizi items.
200k njoo uchukue kama kilivyo...
Hii double decker hakijachoka na sio local made ni imported ...ila kwa vile kimekaa store muda mrefu kinahitaji kufanyiwa service na usafi ambapo kwa 230k kila kitu kitu kingekuwa juu yanguView attachment 2440953View attachment 2440954

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakucheki rasmi kesho kama kitakuwepo
 
Wakuuu Habari,Updates
Desktop core i3 imeshauzwaa
Vilivyobaki
Kindle reader with more than 100 Ebooks bei 200k
Samsung tab 10.1 with 80GB storage single line bei 350 with new flip cover
Hp laptop intel core i5 7th Gen bei 500k
Foldable Aluminium tent kubwa jipya kabisa bei 450k
Double decker bed imported size 5 x6 chini na juu 3 x 6 bei 230k kikiwa sprayed na kufanyiwa usafi..kikiuzwa kama kilivyo napokea 200k
Rm One Full HD display 21' bei 150k with VGA connector port,USB port and Dual DVI port ( Wakuu kama mtu anahitaji kujua maana halisi ya full hd display njoo chukua hii)
Speaker kubwa and its Booster kwa ajiri ya redio ya gari bei laki 2
Napatikana ubungo- Dsm
Mawasiliano 0713498825.
Note: Vitu vyote vipo katika hali nzuri nauzaa kwa dharula ya matibabu ya haraka sana.
Kariibuni.

Kwa Wapenzi wa kusoma vitabu..Hii Amazon kindle reader ndio kila kitu na bei nauza ya hasara sana kwa ajiri ya uhitaji mkubwa nilio nao ( ukinunua hii nitakupa bure kindle reader kwa ajiri ya mtoto yenye vitabu vingi vya watoto alikuwa anatumia mtoto wangu ameshakua mkubwa na karuhusu niitoe kama zawadi).


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm pia bado nipo. Ikikupendeza
Asante Boss offer nzuri, lakini siwezi fikia lengo la kuuza hizi items...hii pc ni intel processor core i5 7th Generation sio 4th Generation....niko tayari kuiiupgrade kwa ssd ya 32GB ili nipate not less than 500k.

Sent using Jamii Forums mobile app
Note:Gharama za kuupgrade kwa mafundi ni juu ya mteja mimi natoa offer ya ssd ambayo itabidi fundi aitoe ktk min laptop nayotumia na kupunguza RAM from 8GB to 4GB kisha anakuwekea 32GB ssd.
 
Back
Top Bottom