Delivery Man
Senior Member
- Jan 3, 2019
- 157
- 107
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteni sana ndugu zangu tv imelipiwaa sasa hivi.Hii hapa 43' nipe 450k boss au exchange nipe 32' na laki mbili.View attachment 2441684
Sent using Jamii Forums mobile app
Of course.... Ninachomaanisha nisije nikajikuta nanufaika kutokana na mtihani wa ndugu yangu...Asante Boss kwa polee yako,
Ilaa khofu yako ya kufanya jambo sahihi kwa wakati sahihi Uoni kwamba ndio unakosea? Maana poleee pekee haiwezi tatua changamoto zilizopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu for your concern.Of course.... Ninachomaanisha nisije nikajikuta nanufaika kutokana na mtihani wa ndugu yangu...
Naitaka hii mkuu nicheki Whatsap tutete
Asantee sana Boss, wewe ndio uliyesababishe niiuze na bahati imelipiwa usiku huu.Naitaka hii mkuu nicheki Whatsap tutete
Dah umezingua kinyama si nlikuambia naichukua umezingua kinoma sema nini furesh kama umeuza.Asantee sana Boss,wewe ndio uliyesababishe niiuze na bahati imelipiwa usiku huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amna ingine?Asantee sana Boss,wewe ndio uliyesababishe niiuze na bahati imelipiwa usiku huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisamehe mimi bosi ninahitaji pesa kwa haraka mkuu hivyo sikuweza kuwa na subiraDah umezingua kinyama si nlikuambia naichukua umezingua kinoma sema nini furesh kama umeuza.
Hii hujaweka beiBooster model ni Boschmann PCH- 4880DXView attachment 2444172View attachment 2444173View attachment 2444174View attachment 2444175
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo booster amplifier na speaker yake kubwaa nauza kwa 300k.Hii hujaweka bei
Asaante sana mkuu,hujaniambia nikufate wapi, lakini pia hii offer ni kwangu tu au kwa watu wote wa Jamiiforums?? Kama ni kwa ajili yangu tu kariibu sana PM kiongozi ilaa kama ni kwa members wote wa Jamii forums basi naomba maelezo zaidi hapa.....Njoo nikupatie bima ya uhakika ili ujitibu vizuri.