INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

Humidifier mpya 100k
Kindle reader for adults with full ebbok 200k ( nilinunua ebay $220).

Kind reader for kids with its pink cover 70k ( ina vitabu vya watoto na unaweza weka vitabu vingine).

LG Tall boy speaker 4 nahitaji 120k.

Core i3 desktop haina hddisk 150k.

Monitors zote mbili 100k
Smart hand scanner mpya 50k

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni humidifier au dehumidifier maana zina tofauti?
 
Mkuu kama una viti au meza pulizi
Hivi vitakufaa? Ni brand new
IMG-20221214-WA0273.jpg
 
Wakuu bado napambana nakimbiliaa deadline...
Naomba mdau anayehitajii Dish kubwa la Free to Air pamoja na receiver zake mbili na LNB mbili
Nahitaji laki mbili 200k only
Ukiona vinakufaa tafadhalii njoo uchukue
Nb: ( iwapo kuna house hold items yoyote utakuwa na uhitaji nayo tafadhalii niulizee kwa dharula niliyonayo chochote ambacho kitahitajika na ninacho nitakuuzia
Nicheki kwenye pm.
Au mawasiliano 0713498825View attachment 2446554View attachment 2446556View attachment 2446557View attachment 2446558

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii free, unapata chanel zipi? Mfano DStv zote?
 
Hii free,unapata chanel zipi?mfano dstv zote?
Boss sina maelekezo mengi kwenye hilii ..ila kwa ufupi kama mtumiajii tu wa kawaida na sio fundi..fta sattellite dish kazi yake ni kunasa free subscription channels..hivyo fundi anajuaa je ni sattelite ipi yenye free channels nyingi hivyo atakufungia dish lako katika uelekeo wa hiyo sattellite ....hivyo kama Dstv nao watakuwa na free subscription channels katika hiyo sattelite basi utazipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekufata mkuu kwenye bima yako ya uhakika uliyoniitia kwa mbwembwe zote unaishia kuniambiaa inaanza kuwa active baada ya mwaka mmoja.....Nimejikuta nimeshindwa kuvumilia aisee ili member wengine wenye changamoto wasikukimbilie wakidhani kuna unafuu wowote kama unavyojinasibu kwenye posti yako hapo.
Nenda nhif zinaanzia 192,000 Kwa mwaka
 
Habari ndugu zangu wa Jamii forums, bado nipo kwenu...muda wa jitihada zangu za kupambania maisha ya mpendwa wangu unanikimbiaa
Bado sijaweza fikia lengo la hitajio
Package hii hapa nahitaji 1m
Samsung Tab 10.1' with 80GB of storage,inatumia line moja
Amazon kindle reader with more than 100books inatumia wifi
Hp laptop intel core i5 7Gen woth 8Gb Ram and 500GB hdd
Juu ya hii nitatoaa offer ya smile Franklin wireless router bure kabisa.
IMG_20221215_164043_298.jpg
IMG_20221215_164020_183.jpg
IMG_20221215_164206_220.jpg
 
Vyote hivi nilivinunua kwa matumizi yangu binafsi...lakini umiliki wa vitu hivi kwa sasa hauna umuhimu kwangu kulinganisha na swala nalopigania
Hii Samsung Tab nitakupatia na flip cover yake mpya kabisa na nakupa na accesories zake kasoro earphone zimekatika
Whole package plus Franklin Wireless router
Only 1m.
IMG_20221215_164245_633.jpg
 
Wakuuu naiuza na hii Printer
Samsung Laser Jet Printer
Model ML 2885ND Nimeitumiaa kwa kiasi kidogo sana na niliinunua mpya kabisa kutoka Masumin Printways kwa 440k
Nahitaji 300k only.
20221215_150127.jpg
20221215_150102.jpg
 
Wakuuu Aluminium foldable Tents imetumika kwa kiasi kidogo sana bado ipo
Naitoaa kwa 400k only.
Wakuuu nunueni hizi bidhaaa Mungu atawabariki sana ndugu zangu.
20221207_131908.jpg
Screenshot_20221215-190739_copy_352x1024.jpg
 

Attachments

  • 20221209_125138.jpg
    20221209_125138.jpg
    113.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom