Plot4Sale Nauza viwanja maeneo mbalimbali Dar

[emoji91]OFA KUBWA YA VIWANJA[emoji91]

[emoji625]LOCATION :: KILUVYA KWA KOMBA

[emoji625]Mita 20x20 SQM 400

[emoji625]Tuna uza mln 6 tu

●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji vyote vipo
●Kilomita 1.5 kutoka barabara kuu ya lami ya Morogoro road

[emoji625]Kupelekwa site kuona kiwanja 10,000 tu

Call / Whatsapp
0675 065906
#Egorealestate
#viwanjadar
#viwanjambezikimara
#viwanjakibamba
#viwanjakiluvya
#viwanjakibaha
 
[emoji91]OFA KUBWA YA VIWANJA KILUVYA[emoji91]

[emoji625]LOCATION :: KILUVYA KWA KOMBA

[emoji625]Ukubwa 20/20 bei mln 8 tu ukitaka ukubwa zaidi pia unapata

●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji vyote vipo
●Kilomita 1.5 kutoka barabara kuu ya lami ya Morogoro road

[emoji625]Kupelekwa site ni kuona kiwanja 10,000 tu

Call / Whatsapp
0675 065906
#Egorealestate
#viwanjadar
#viwanjambezikimara
#viwanjakibamba
#viwanjakiluvya
#viwanjakibaha
 
Vipo vya Mln 2.5 na mln 3 ila ukubwa huwa Mita 16×12 kwa bei hiyo maeneo ya Kibamba
Mkuu mimi naomba nikushauri tu.

Kwanini huto tuwanja twa size hii msiwe mnaviunganisha kinakuwa kitu kimoja mnamtafuta mtu mmoja mnampa?maana hapo mkiuza kwa watu watatu tofauti hakuna kingine zaidi ya kutengeneza migogoro tu.
 
Ni canon IR 2520

[emoji736]Copying
[emoji736]printing
[emoji736]scanning
[emoji736]Inageuza karatasi n.k
[emoji3532]Mashine Bado mpya haijatumika sana
[emoji3532]Bei 1,400,000 Maongezi kidogo yapo
[emoji841]ipo Dar Kibaha Maili moja
[emoji3513] 0675 065906
 
Eneo la wazi linalotazamana na lami linakodishwa
Lipo Kimara Mwisho
Ukubwa ekari 3+ :
Eneo ni tambarare
Linafaa kwa kiwanda,parking,Garage,Kanisa,yard n.k
Eneo linatazamana na barabara kubwa ya lami (Morogoro Road)
Bei Mln 5 kwa Mwezi🙁Maongezi yapo):
Simu 0675 065906
 
Eneo la wazi linalotazamana na lami linakodishwa
Lipo Kimara Mwisho
Ukubwa ekari 3+ :
Eneo ni tambarare
Linafaa kwa kiwanda,parking,Garage,Kanisa,yard n.k
Eneo linatazamana na barabara kubwa ya lami (Morogoro Road)
Bei Mln 5 kwa Mwezi🙁Maongezi yapo):
Simu 0675 065906
 
[emoji91]OFA KUBWA YA VIWANJA KILUVYA[emoji91]

[emoji625]LOCATION :: KILUVYA KWA KOMBA

[emoji625]Ukubwa 20/20 bei mln 10 ukitaka ukubwa zaidi pia unapata

●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji vyote vipo
●Kilomita 1.5 kutoka barabara kuu ya lami ya Morogoro road

[emoji625]Kupelekwa site ni kuona kiwanja 10,000 tu

Call / Whatsapp
0675 065906
#Egorealestate
#viwanjadar
#viwanjambezikimara
#viwanjakibamba
#viwanjakiluvya
#viwanjakibaha
 
[emoji91]OFA KUBWA YA VIWANJA KIBAMBA[emoji91]

[emoji625]LOCATION :: KIBAMBA

[emoji625]Ukubwa 10/20 bei mln 3

●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji vyote vipo

[emoji625]Kupelekwa site ni kuona kiwanja 15,000 tu

Call / Whatsapp
0675 065906
#Egorealestate
#viwanjadar
#viwanjambezikimara
#viwanjakibamba
#viwanjakiluvya
#viwanjakibaha
 
Hofu matapeli wengi sana watu wanalizwa sana kwenye viwanja garantii ya pesa yangu ipoje utapeli ukibainika?
 
Hofu matapeli wengi sana watu wanalizwa sana kwenye viwanja garantii ya pesa yangu ipoje utapeli ukibainika?
Ndugu Kwa bahati nzuri siuzi Viwanja vyenye utapeli......
 
KIWANJA KIPO SEHEMU NZURI TAMBARARE
UKUBWA WA UWANJA METRE 20×25
KIPO KIMARA KOROGWE KWA MKUA
BEI MLN 20 MAONGEZI YAPO
0675 065906
KUPELEKWA SITE 20,000
 
KIWANJA KIPO SEHEMU NZURI TAMBARARE
UKUBWA WA UWANJA METRE 20×25
KIPO KIMARA KOROGWE KWA MKUA
BEI MLN 20 MAONGEZI YAPO
0675 065906
KUPELEKWA SITE 20,000
 
[emoji91] OFA KUBWA YA VIWANJA [emoji91]

[emoji736]Viwanja vipo maeneo ya jiarani na Goba Kwa Robert
[emoji736]Ni sehemu nzuri Sana Kwa Makazi na pamejengeka
[emoji736] Miundo mbinu ya Barabara,umeme na maji imeshafika mpaka site
[emoji736] Viwanja vyote vimepimwa na vipo kwenye ramani
[emoji736]Square meter 1 ni Tsh 23,000 tu vipo ukubwa tofauti tofauti
[emoji736]Malipo ya kwenda site ni sh.20,000
[emoji736]Mawasiliano zaidi call/SMS/WhatsApp:0675 065906
 
[emoji625]LOCATION :: KILUVYA KWA KOMBA

[emoji625]Ukubwa 10/20 bei mln 7
[emoji625]Ndani ya kiwanja Kuna Tofali 400,Kokoto tiper 1 na Mchanga

●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji vyote vipo
●Kilomita 1.5 kutoka barabara kuu ya lami ya Morogoro road

[emoji625]Kupelekwa site ni kuona kiwanja 20,000

Call / Whatsapp
0675 065906
 
Viwanja hivi :
[emoji625]vina ukubwa wa 20×20 smq 400
[emoji625]Vipo kiluvya makurunge zahanati
Bei Mln 4 Maongezi kidogo yapo
0675 065906
Umbali toka Morogoro road ni km 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…