Plot4Sale Nauza viwanja na nyumba maeneo mbalimbali Dar

Plot4Sale Nauza viwanja na nyumba maeneo mbalimbali Dar

NYUMBA INAUZWA MWANANYAMALA B
.
•(Ipo karibu kabisa na Makutano ya barabara inayotoka Tandale Vs Mwananyamala)
.
•(Jirani ya nyumba hii, yaani nyumba inayofuata baada ya hii....tayari kumenunuliwa na kumeshaanza kujengwa Apartments za frame za biashara ya ghorofa 2)
.
Ina ROOM : 10
INAFAA KUJENGA APARTMENTS
INA ENEO KUBWA
INA FRAME MBELE
.
IPO KARIBU KABISA NA BARABARA
.
Ukubwa : 410 Sqm
.
BEI : TZS. 120M
.
INA DOCUMENTS ZOTE HALALI
.
Piga : 0717 650800

IMG-20220908-WA0000.jpg
IMG-20220908-WA0004.jpg
IMG-20220908-WA0002.jpg
IMG-20220908-WA0001.jpg
IMG-20220908-WA0007.jpg
IMG-20220908-WA0008.jpg
IMG-20220908-WA0003.jpg
IMG-20220908-WA0006.jpg
IMG-20220908-WA0005.jpg
 
Mr.Dalali kwani kiwanja kina documents ngap?..si moja tu... Piga picha hyo doc tuone imeandikwa square meter ngap
 
Mr.Dalali kwani kiwanja kina documents ngap?..si moja tu... Piga picha hyo doc tuone imeandikwa square meter ngap
Unazungumza kwa dharau sana halafu tukiamua tupime Kati yangu na wewe unaweza jikuta unaaibika...Be humble kaka ktk maisha yako itakusaidia sana
.
Unazungumza Jambo usilolijua, eti document ni moja tu....Inastaajabisha, kwa mfano nyumba ikiwa ya urithi itakuwaje na document 1?
.
Eti piga picha hiyo document tuone imeandikwa square metres ngapi? Ungekuwa wewe ndiye unayeuza ungeweza kuweka nyaraka zako sensitive Kama hizo humu mitandaoni?
.
BE HUMBLE MAN [emoji1666]
 
Dah hali ni tete mkuu
Hapo tafuta wawekezaji ndo utaitoa faster

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi kabisa, naendelea kuwatafuta mkuu. [emoji1666]
.
Wakuu msinichoke na huu uzi, naendelea kupambana bila kukata tamaa kwa sbb nafahamu kabisa siku nitakayokuja kuuza hii Plot....Basi hiyo siku ndio itakuwa turning point yangu, kwa sbb Nina uhakika kabisa nitapata above 35m
.
ATAFUTAE HACHOKI [emoji419]
 
Unazungumza kwa dharau sana halafu tukiamua tupime Kati yangu na wewe unaweza jikuta unaaibika...Be humble kaka ktk maisha yako itakusaidia sana
.
Unazungumza Jambo usilolijua, eti document ni moja tu....Inastaajabisha, kwa mfano nyumba ikiwa ya urithi itakuwaje na document 1?
.
Eti piga picha hiyo document tuone imeandikwa square metres ngapi? Ungekuwa wewe ndiye unayeuza ungeweza kuweka nyaraka zako sensitive Kama hizo humu mitandaoni?
.
BE HUMBLE MAN [emoji1666]
Unalia nini? kiwanja cha urithi kinakua na hati kumi sio...ficha sehemu zote weka sehemu inayoonyesha sq. m za eneo hilo unalouza.....kama hakina hati, sema tu sio unapanic mkuu
 
Unalia nini? kiwanja cha urithi kinakua na hati kumi sio...ficha sehemu zote weka sehemu inayoonyesha sq. m za eneo hilo unalouza.....kama hakina hati, sema tu sio unapanic mkuu
Bahati mbaya mwenye pesa za kununua hapo Hana Muda wa kupiga kelele zote hizi mitandaoni.

Karibu tuendelee kukisifia chama tukalipwe buku 7 zetu tukanywe ulanzi na chimpumu.
 
Back
Top Bottom