Plot4Sale Nauza viwanja na nyumba maeneo mbalimbali Dar

Plot4Sale Nauza viwanja na nyumba maeneo mbalimbali Dar

Nyumba na Viwanja sio bei rahisi kama wengi hapa wanavodhani.

Milioni 120 ina maongezi hapo Kigamboni alipopataja ni mjini tayari.

Eneo lina karibu robo ekari 850sqm.

Nyumba ina vyumba vitano.....

Nyie mnataka iuzwe Shilingi ngapi???? Japo kuwa 120mil. Ni kubwa
 
Unauziwa location pia hapo mjini hata hio 120 still ni ndogo.
Mbavu za mbwa buguruni na bangaloo Chanika, mbavu za mbwa lazima iwe juu kuliko bangaloo.
Location ndio utoa thamani ya nyumba na sio aina ya nyumba.
Hapo kwa mfanyabiashara chapu anavuta hio kitu, unajenga guest na bar ukosi faida ya laki moja kwa siku.
 
Unauziwa location pia hapo mjini hata hio 120 still ni ndogo.
Mbavu za mbwa buguruni na bangaloo Chanika, mbavu za mbwa lazima iwe juu kuliko bangaloo.
Location ndio utoa thamani ya nyumba na sio aina ya nyumba.
Hapo kwa mfanyabiashara chapu anavuta hio kitu, unajenga guest na bar ukosi faida ya laki moja kwa siku.
Fact
 
Ni mita 30 kufika barabarani (darajani) ukiwa nje ya nyumba unaiona barabara
.
Na ukiwa nyuma ya nyumba unaiona beach, ni mita 70 kufika beach kutoka kwenye hiyo nyumba
IMG-20230219-WA0010.jpg
IMG-20230219-WA0011.jpg
IMG-20230219-WA0013.jpg
IMG-20230219-WA0012.jpg
 
Tangaza mil 50 maongezi yawepo kwa Bei hiyo myb nunua mwenyewe au mshauli huyo Boss akaikopee bank
 
Nyumba na Viwanja sio bei rahisi kama wengi hapa wanavodhani.

Milioni 120 ina maongezi hapo Kigamboni alipopataja ni mjini tayari.

Eneo lina karibu robo ekari 850sqm.

Nyumba ina vyumba vitano.....

Nyie mnataka iuzwe Shilingi ngapi???? Japo kuwa 120mil. Ni kubwa
Hata kama ni bei haijafika huko,halafu ni kigamboni sasa
 
NYUMBA INAUZWA MBEZI BEACH MASSANA TZS. 350m

UKUBWA WA KIWANJA - SQM 450 [emoji736]

NYUMBA IPO NDANI YA FENSI [emoji736]

VYUMBA 3 VYA KULALA, CHUMBA KIMOJA NI MASTER BEDROOM [emoji736]

SITTING ROOM [emoji736]

DINING ROOM [emoji736]

KITCHEN ROOM [emoji736]

BATHROOM [emoji736]

ENEO LA PARKING NA GARDEN [emoji736]

NYUMBA INA FREMU 3 ZA BIASHARA [emoji736]

NYUMBA INA HATI MILIKI ( FULL DOCUMENTS) [emoji736]

MAHALI ILIPO - MBEZI BEACH MASSANA ( BARABARA YA GOBA) [emoji736]

BEI:- MIL 350 [emoji736]

0717 650800
IMG-20230523-WA0005.jpg
IMG-20230523-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom