Nassoro Abdallah
Member
- Jul 22, 2020
- 89
- 94
Unauza nyumba au uchochoro..????Ipo mwembe mdogo kigamboni Ina vyumba vitatu viwili Master sitting room jiko na public toilet nyumba imeshuka Bei toka ml 25 Sasa ml 22 tu kiwanja kishafanyiwa upimaji mita 300 toka stend
Ya Basi nicheki 0713672719/0787672719View attachment 1525282View attachment 1525283View attachment 1525285View attachment 1525284
π Kwamba Mkuu amepiga picha za pembeni nyumba haionekani ni uchochoro tu ndo unaonekana HD π€£π€¦π€ͺπ³πUnauza nyumba au uchochoro..????
Huyu bwana cholo boy ndi zake. Anatupia picha za mbavuni tu moja halafu.π Kwamba Mkuu amepiga picha za pembeni nyumba haionekani ni uchochoro tu ndo unaonekana HD π€£π€¦π€ͺπ³π
Nimetuma picha 3 naona imekuja moja Tena hiyo ya pembeni duguMbona unaandika Tangazo as if we kibaka tu. Kuwa serious basi mzee.
Tutainunua mwaka 2026,Sasa subiri kidogoVipi ile filling station kule mbagala ushaiuza kwa ile 1.5 billion?
mnasubiri nchi ifike uchumi wa juuT
Tutainunua mwaka 2026,Sasa subiri kidogo
Punguza sautimnasubiri nchi ifike uchumi wa juu
Nyumba nzuri, ila kila nikiona tangazo la nyumba kuuzwa naanza kucheck ID. Bado ule mzimu wa kuongeza 300M kwenye biashara ya gas station ya Mbagala unakuandama mkuu. Its' either ubadili ID au utolee ufafanuzi mkuu.
Kwani imekuaje?Naam dalali wa petrol station. Naona tangazo lako umelikimbia kule!