INAUZWA Nauza Viwanja, nyumba na Mashamba Kigamboni Dar es Salaam

INAUZWA Nauza Viwanja, nyumba na Mashamba Kigamboni Dar es Salaam

Ipo Gezaulole kigamboni mita 150 ipo hospital ya wilaya kigamboni Ina vyumba vitatu kimoja Master sitting room dining room jiko na public toilet Ina vyumba viwili mbele kwa ajili ya maduka na pia Ina Kota.

Ya vyumba viwili Master Bei ml 150 maongezi yapo nicheki 0713672719/ 0787672719

View attachment 1671724View attachment 1671725View attachment 1671726View attachment 1671727View attachment 1671728
Hizi rangi zimenifanya nirudie tena kusoma location, nkadhan iko mbagala chamanzi
 
Ipo mjimwema mtaa wa Ungindoni
Ina vyumba vitatu viwili vipo chini sitting room dining room jiko na public toilet
Kimoja kipo juu Master sitting room
Na korido ya kupumzikia Bei ml 170
Maongezi yapo Sana tu nicheki
0713672719
0787672719

IMG_20210111_102246.jpg
IMG_20210111_102523.jpg
IMG_20210111_102455.jpg
IMG_20210110_120420.jpg


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wewe utaishi wapi? Nashauri ikamilishe uishi chini chumba cha huu pangisha hata kwa laki maisha yataenda
 
Ni nzuri ila kwa hiyo hela at least ingekuwa imekamilika, hapo utapata hela ndogo. Tafuta hela upige rangi na hapo nje weka pavings na kigarden cha kimtindo, utauza fasta tena bei nzuri.
Mtu hawezi kutoa zaidi ya mil 150 halafu bado aje kupambana na mafundi, anatakiwa ahamie tu.
 
Ni nzuri ila kwa hiyo hela at least ingekuwa imekamilika, hapo utapata hela ndogo. Tafuta hela upige rangi na hapo nje weka pavings na kigarden cha kimtindo, utauza fasta tena bei nzuri.
Mtu hawezi kutoa zaidi ya mil 150 halafu bado aje kupambana na mafundi, anatakiwa ahamie tu.
Sio yake mkuu,ni dalali.
 
Mkuu nakushauri usiuze hiyo nyumba komaa tu uimalize au uhamie hivyo hivyo. Najua uenda una matatizo unahitaji pesa ila komaa na dunia hiyo nyumba usiiuze. Kama ni ada hamisha watoto shule peleka za kawaida na jishushe kimaisha ila mjengo baki nao ndio urithi mkubwa wa watoto. Siku hizi tunawasomesha na kazi hawapati so elimu sio urithi mkubwa kihivyo kama mali kama hii nyumba.

Ramani yako nzuri sana pambana uimalize
 
Mkuu nakushauri usiuze hiyo nyumba komaa tu uimalize au uhamie hivyo hivyo. Najua uenda una matatizo unahitaji pesa ila komaa na dunia hiyo nyumba usiiuze. Kama ni ada hamisha watoto shule peleka za kawaida na jishushe kimaisha ila mjengo baki nao ndio urithi mkubwa wa watoto. Siku hizi tunawasomesha na kazi hawapati so elimu sio urithi mkubwa kihivyo kama mali kama hii nyumba.

Ramani yako nzuri sana pambana uimalize
Nakubaliana nawe kwamba siku hizi kusomesha na kusema eti umemuachia urithi mtoto ni kujidanganya. Lazima umuachie mijengo plus elimu
 
Back
Top Bottom