Plot4Sale Nauza viwanja viwili Nkuhungu na Vikonje (Dodoma)

Plot4Sale Nauza viwanja viwili Nkuhungu na Vikonje (Dodoma)

Dodoma
VIKONJE MIL 22 HIVI HELA HIZI JAMEN WENGINE MNAZIPATA WAPI? SISI WABONGO hatuna uhalisia kabisa...Kuna kipindi kiwanja Masaki kilikua mil 8 dola..Wakati marekani nyumba inauzwa dola laki 3
Inategemea na ukubwa wa eneo mkuu kama ni 15×20 ni sawa laki I si 40×40 mkuu
 
Punguzo kiwanja cha mnadani njoo ulipie 15mil
 
Milione 22 hapo bado kujenga........na makato haya sasaivi
 
Eneo la Mkuhungu umepimwa na serikali au upimaji umefanyika kwa njia ya urasimishaji?
 
Back
Top Bottom