Inategemea na ukubwa wa eneo mkuu kama ni 15×20 ni sawa laki I si 40×40 mkuuDodoma
VIKONJE MIL 22 HIVI HELA HIZI JAMEN WENGINE MNAZIPATA WAPI? SISI WABONGO hatuna uhalisia kabisa...Kuna kipindi kiwanja Masaki kilikua mil 8 dola..Wakati marekani nyumba inauzwa dola laki 3
Ndiyo madalali wa Dodoma walivyo. Kama wamerogwa vile. Mwenye kiwanja unakuta anauza milioni 9, wenyewe wanauza milioni 22!!Bei imesimama hatari,Kila la heri
Daaah basi bhna tunasema boss ameshashuka kawa mpole kama ngamia, wanakuja.Njoo na 12mil tumalize biashara