BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
- Thread starter
-
- #21
Na kuna wengine wanauza zaidi ya bei hii ninayo uza hapa hapa JF na hawana package ya 128 GBUmemjibu vizuri sana. Kama ameona za bei rahisi akanunue huko na si kuja kuchafua biashara za watu. Wabongo ujuaji mwingi na ilihali hatuna tujualo.
Kama Aliexpress mbali aingie Jiji huko pia Kuna Wauzaji KibaoMwamba mbona umeshupaza fuvu kulazimisha unachotaka wewe katika biashara ya mtu. Si uagizie huko AliExpress? Kwani kakuwekea kisu cha shingo ununue kwake?
Haifanyi kazi bila umeme mkuu labda uwashe jeneretaUmeme ukikatika hairecord? If so, njia mbadala incase umeme ukikatika
Tuko pamoja, oda ziendeleeAhsante kwa taarifa mkuu
Ni Camera 2 MP
-Ina Wifi inayosaidia kukupa taarifa hata ukiwa mbali, endapo kamera itapata internet
-Ina record video na sauti
-Ina jizungusha kulia kulia na kushoto, chini na juu
-ina detect object
-inachukua matukia mchana na usiku
-ina sehemu ya kuhifadhi memory Card
-Ni rahisi kuifunga
Night vision
Rotation 360 Degree
BEI elfu 60 TZS
Dar es Salaam, kigamboni
Call
0718295182
0765505909
View attachment 2765022View attachment 2765023View attachment 2765021View attachment 2765019
kama app yao inaweza format memory card,inahifadhi matukio kwenye Memory Card
Jibu maswal iacha maneno mengi. Umeziagiza kutoka wapi na ni brand gani?Kwani tunashindana kujua ni wapi nachukulia mzigo wangu
Ishu Ni kua kama unahitaji za Aliexpress, we Agiza kiasi unachotaka, hakuna wa kukuzuia
ila usinipangie bei ya kuuza eti sababu umeona sehemu wanauza kiasi fulani uje hapa unikadilie na kukosoa biashara yangu
Hapana mkuu hiyo ni kamera inayofungwa kwenye holder kama ya Bulbnieleweshe kidogo Mkuu
hiyo kamera inaweza kutumika kama mbadala wa bulb pia? yaan kama nje kwangu niifunge ifanye kazi kama taa ya nje na wakati huo huo iwe ni kamera?
Sijaagiza nimenunua KariakooJibu maswal iacha maneno mengi. Umeziagiza kutoka wapi na ni brand gani?
Kweli mkuukama app yao inaweza format memory card,
wangeweka feature ya kushusha hizo stored videos(za kurecall siku nzima mathalan) kwa app ingekua bomba sana
Hapana mkuu hiyo ni kamera inayofungwa kwenye holder kama ya Bulb
Sio ya kumulika inamulika usiku tu kama flash inapoditect object kwenye giza nene
Lakini haitumiki kama taa kwa ajili ya kupata mwanga
Ufungaji wake ni kama unataka kuweka Bulb tofauti ni kule kwenye holder badala ya kuweka Bulb unaweka hii kamera