Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Inadumu Kwa muda gani?Mzigo upo wa kutosha hata kwa bei ya jumla unapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inadumu Kwa muda gani?Mzigo upo wa kutosha hata kwa bei ya jumla unapata
Minimum Ni Miaka mitatu ila kumbuka hiki ni kifaa cha umeme inaweza tokea kikaungua, ingawa kesi hizo ni chacheInadumu Kwa muda gani?
Tuko pamoja nduguSafi sana
Unaweza kuunga hizi camera zako na simu?Tuko pamoja ndugu
Umbali upi? . Kilometa ngapi?Mzigo bado upo wa kutosha
Unaweza konect na simu hata ukiwa mbali
Ila price abuse ni janga la Taifa pia...!Umemjibu vizuri sana. Kama ameona za bei rahisi akanunue huko na si kuja kuchafua biashara za watu. Wabongo ujuaji mwingi na ilihali hatuna tujualo.
Utaratibu ukoje wa malipo na kupokea mzigoNi Camera 2 MP
-Ina Wifi inayosaidia kukupa taarifa hata ukiwa mbali, endapo kamera itapata internet
-Ina record video na sauti
-Ina jizungusha kulia kulia na kushoto, chini na juu
-ina detect object
-inachukua matukia mchana na usiku
-ina sehemu ya kuhifadhi memory Card
-Ni rahisi kuifunga
Night vision
Rotation 360 Degree
BEI elfu 60 TZS
Dar es Salaam, kigamboni
Call
0718295182
0765505909
View attachment 2765022View attachment 2765023View attachment 2765021View attachment 2765019
Ndugu ww uko wapi!?? Mimi nipo KigamboniUtaratibu ukoje wa malipo na kupokea mzigo
Hapana mkuu hiyo ni kamera inayofungwa kwenye holder kama ya Bulb
Sio ya kumulika inamulika usiku tu kama flash inapoditect object kwenye giza nene
Lakini haitumiki kama taa kwa ajili ya kupata mwanga
Ufungaji wake ni kama unataka kuweka Bulb tofauti ni kule kwenye holder badala ya kuweka Bulb unaweka hii kamera
Kwahiyo unataka auze bei hiyo hiyo, ili asipate faidaBei mbn kubwa sana angalau kuagiza ali express 30k
Kwa waagizaji hawawezi shang hiyo beiKwahiyo unataka auze bei hiyo hiyo, ili asipate faida
Kwa waagizaji hawawezi shang hiyo beiKwahiyo unataka auze bei hiyo hiyo, ili asipate faida
Kwa waagizaji hawawezi shang hiyo beiKwahiyo unataka auze bei hiyo hiyo, ili asipate faida
Kamera ni za kisasa zinajizungusha kulia na kushoto ili kupata video kwa uzuri zaidi