Oooh sawa ccy naombeni uhusika kwenye hiyo Isidingo plz.Ndiwooo sis isidingo make kuna wahusika wanakufa na wengine wanazaliwa upyaaa yanii🤠!
Nalima sis na kilimo kinanipausha balaaaa kama unavoonaa 🤣!
Naona wa so called wa mujini mnahahaa na wasiokuwa na muda nanyie Sio kidogoooooo!
Cc Smart911
Nishakataaga offer ya kufanyiwa live interview... Nishakataaga offer ya kufanyiwa simulizi...I will support you ukisahau matukio love wewe trrreiinnaaaaaaah!.
Oooh sawa ccy naombeni uhusika kwenye hiyo Isidingo plz.
Kunakupausha sana ccy maan haiwezakani upauke alafu sis
born town ma sistaa duu tukugwaye.
Sema ccy mpumbavu muache aongee muache aseme, ww jibu lako moja silaha yako moja ukimya.
Fikilia hizi mvua hili baridi mtu anakesha kasimama barabarani usiku anaota jua.
Nishakataaga offer ya kufanyiwa live interview... Nishakataaga offer ya kufanyiwa simulizi...
Vurugu, fujo kemea hilo pepo.Wewe treinaaah unakosaje kwa mfano uweeeeee
!
Mbona masista duu bwahahahahahahahahah 🤣🤣🤭🐒🐒
That's ma genious sis uko na akili mingi sana sis kweli Mjinga usimpe airtime kabesaaa!
Sikuhizi Smart911 kanifunda sana sis huwezi niona kwenye hizo fyoko!
Thanks sis
Vurugu, fujo kemea hilo pepo.
Marafiki wenye mikosi, wenye jini kunuka, jini taharuki, jini kukataliwa, jini husda.
Wenye nyota ya umbea na chuki binafsi.
Au ntamalizia badae ccy.
Huku kwetu bado mchana vip huko kijijini kwenu.
Haya bye😊😊