Navyoona si Bashiru si Polepole hawana nguvu tena, wanagugumia tu

Navyoona si Bashiru si Polepole hawana nguvu tena, wanagugumia tu

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!
Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na UDr hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru!
Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa!
Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani!
Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma. Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dr. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?
hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa! Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Rais ni taasisi
 
Hata huu ubunge hastahili kabisa!! Angetakiwa arudi tu kijijini akalime, iwe ni funzo hta kwa wengine kuwa kumtegemea binadamu Ujira wake ni laana na aibu kubwa

Bashiru.jpg
 
Kutesa kwa zamu. Wamekula maisha sana Hawa wacha wapumzike na wengine waingie. Hata akina Makamba walikula maisha enzi ya mkwere, akina mramba na Yona walikula maisha kwa uncle Ben na kina warioba na Bujiku walikula maisha sana enzi ya mchonga.
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Dr. Bashiru uzuri wake ni kwamba ni mchapa kazi sana, ana kipaji cha juu sana cha organisation, pia hana umri mkubwa!
CV yake imepanda sana na anayo elimu. Ukiangalia hayo pekee, na jinsi alivyo bakishwa kwenye system, tegemea kuwa Dr Bashiru bado anahitajika sana na ni akiba - watawala wanayo tegemea.
Mfano: Dr. Bashiru hapendwi haswa na wapinzani kwa sababu alisaidia CCM kushinda viti vyote vya ubunge na uraisi - wanavyo dai! Je! Chaguzi zimeisha? Je CCM haitaki kushinda tena? Je! Dr. Bashiru hatahusishwa kamwe kufanikisha hili tena? Mpunguze mihemko yenu kusudi msije kukumbana na maneno haya - "msiye mpenda kaja"!
 
Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.
Subiri Bashiru anarudi ccm huhui kitu
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu![emoji2839][emoji2839][emoji2839][emoji2957][emoji2957]
 
Back
Top Bottom