Navyoona si Bashiru si Polepole hawana nguvu tena, wanagugumia tu

Navyoona si Bashiru si Polepole hawana nguvu tena, wanagugumia tu

Dr. Bashiru uzuri wake ni kwamba ni mchapa kazi sana, ana kipaji cha juu sana cha organisation, pia hana umri mkubwa!
CV yake imepanda sana na anayo elimu. Ukiangalia hayo pekee, na jinsi alivyo bakishwa kwenye system, tegemea kuwa Dr Bashiru bado anahitajika sana na ni akiba - watawala wanayo tegemea.
Mfano: Dr. Bashiru hapendwi haswa na wapinzani kwa sababu alisaidia CCM kushinda viti vyote vya ubunge na uraisi - wanavyo dai! Je! Chaguzi zimeisha? Je CCM haitaki kushinda tena? Je! Dr. Bashiru hatahusishwa kamwe kufanikisha hili tena? Mpunguze mihemko yenu kusudi msije kukumbana na maneno haya - "msiye mpenda kaja"!
Tumia neno kuiba uchaguzi, acha kuzunguka kama taga
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Mwenye CV ya H. Pole pole tafadhali
 
Tuliomba Sana na kufunga Ili Mungu awaaaibishe wale wote watakaovuruga uchaguzi mkuu 2020 hakika ametenda tumeuona ukuu wake,wataendelea kuabishwa bado mahela na tume yake, waliwanyima watz haki zao ya msingi za kuwachagua wawakilishi wao.
Mwanakondoo ameshinda.......
Uchaguzi Mkuu Ingekuwa ni gharama nafuu tungeomba urudiwe Ili tupate wawakilishi wetu.
 
Hawa ndo walikuwa madalali wa kununua waunga juhudi na pia ndio vinara wa siasa chafu za kupita bila kupingwa.Wamejitengenezea pesa nyingi Sana kwenye udalali wa kununua wapinzani na pia malipo ya wasanii Ili kuwajaza watz wapate burudani za bure
 
Hawa jamaa kwisha habari yao...ni wa kuhurumia...hawa ni wa kuwatuma kina kibajaji na msukuma eti wakajenge hoja ya Legacy ya Mwendazake kweli?
 
Mnazikumbukaga hiz nyimbo yakishawakumba.
Mkiwa juu ya mstari walaaaa mna banjuka tu na kubanjua wanyonge ..... tulien hivyo hivyo

Hehehe Mkuu haya mambo acha tu,,

Madaraka matamu sana, ukiyapata huwezi kuamini kuwa ipo siku utarudi chini.
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Hivi wewe mtu mzima na akili zako timamu,umebaki kuwa na wivu wa kipumbavu inakusaidia nini?,una kipi cha kuwazidi hao jamaa? Umekalia majungu na umbea ambao haukusaidii katika maisha yako,hebu fanya kazi yako kujiingizia kipato na kujikwamua kimaisha!
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Mwendazake ndo alikua akiwapa kiburi Sasa hizi Ni Zama mpya.acha wapambane na Hali zao
 
Hivi wewe mtu mzima na akili zako timamu,umebaki kuwa na wivu wa kipumbavu inakusaidia nini?,una kipi cha kuwazidi hao jamaa? Umekalia majungu na umbea ambao haukusaidii katika maisha yako,hebu fanya kazi yako kujiingizia kipato na kujikwamua kimaisha!
Wewe naweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Hujui humu twatoa stress! Kama Bashi ni uncle wako basi washwa vema!
 
Dr. Bashiru uzuri wake ni kwamba ni mchapa kazi sana, ana kipaji cha juu sana cha organisation, pia hana umri mkubwa!
CV yake imepanda sana na anayo elimu. Ukiangalia hayo pekee, na jinsi alivyo bakishwa kwenye system, tegemea kuwa Dr Bashiru bado anahitajika sana na ni akiba - watawala wanayo tegemea.
Mfano: Dr. Bashiru hapendwi haswa na wapinzani kwa sababu alisaidia CCM kushinda viti vyote vya ubunge na uraisi - wanavyo dai! Je! Chaguzi zimeisha? Je CCM haitaki kushinda tena? Je! Dr. Bashiru hatahusishwa kamwe kufanikisha hili tena? Mpunguze mihemko yenu kusudi msije kukumbana na maneno haya - "msiye mpenda kaja"!
Sasa huo ushindi alippatia CCM ni kwamba alitumia akili sana ? Yaani kitendo cha kuwaita wakurugenzi wa halmshauri na wakuu wa wilaya na kuwaaguza akikisheni kila mgombea wa CCM anashinda katika kila kituo cha kupigia kura nayo ni akili kubwa? Si hata mtoto wa darasa la saba anaiweza hii? Kama ana uwezo mkubwa aamie upinzani ambapo hakuna sapoti ya dola uone ataambulia nini?
 
Tokea kutambulishwa ulipaji wa kutumia controller number kwenye mali za CHAMA, basi umetokea kumchukia Dr Bashiru
 
Huu uzi umeuandika ukiwa uwanja wa fisi na kombe lako la gongo mkononi, au ulikuwa msalani unakata gogo huku unaandika yanayokujia kichwani kwako? Maana hakuna anaeelewa ulichoandika hapa
Hahahaha masimamngo tu.. ila acha waliwasimanga wenzao. Hamna namna.
 
Ameharibu sana utamaduni wa nchi yetu - yaani utawala wa awamu ya tano hamna ubishi ni UTAWALA ULIOJIPACHIKA MADARAKANI. Ndiyo maana ikabidi hata Mwendazake atolewe kafara! Hovyo kabisa!
Atolewe kafara!!?
 
Dr. Bashiru uzuri wake ni kwamba ni mchapa kazi sana, ana kipaji cha juu sana cha organisation, pia hana umri mkubwa!
CV yake imepanda sana na anayo elimu. Ukiangalia hayo pekee, na jinsi alivyo bakishwa kwenye system, tegemea kuwa Dr Bashiru bado anahitajika sana na ni akiba - watawala wanayo tegemea.
Mfano: Dr. Bashiru hapendwi haswa na wapinzani kwa sababu alisaidia CCM kushinda viti vyote vya ubunge na uraisi - wanavyo dai! Je! Chaguzi zimeisha? Je CCM haitaki kushinda tena? Je! Dr. Bashiru hatahusishwa kamwe kufanikisha hili tena? Mpunguze mihemko yenu kusudi msije kukumbana na maneno haya - "msiye mpenda kaja"!
Eti CV yake imepanda!!!!. CV ya kutumia nguvu ya dola na kununua watu waunge juhudi kwa kutumia kodi ya waTanzania. Kwa uelewa wako umeishia hapo kuelewa kwamba, vyama vya Upinzani vimekosa wabunge bungeni kwa masanduku ya kura, hadi Ndugai na Mahera wakaamua kuwapeleka Covid 19 bungeni? Nadhani kwa level yako ya kuelewa, huwezi kuelewa kwa nini KATIBA imebidi ikanyagwe ili hawa Covid 19 wawepo bungeni.
 
Eti CV yake imepanda!!!!. CV ya kutumia nguvu ya dola na kununua watu waunge juhudi kwa kutumia kodi ya waTanzania. Kwa uelewa wako umeishia hapo kuelewa kwamba, vyama vya Upinzani vimekosa wabunge bungeni kwa masanduku ya kura, hadi Ndugai na Mahera wakaamua kuwapeleka Covid 19 bungeni? Nadhani kwa level yako ya kuelewa, huwezi kuelewa kwa nini KATIBA imebidi ikanyagwe ili hawa Covid 19 wawepo bungeni.
Yaani?
 
Back
Top Bottom