Pre GE2025 Nawaalika Malaika kuja kusimamia Haki katika chaguzi zetu 2024 na 2025

Pre GE2025 Nawaalika Malaika kuja kusimamia Haki katika chaguzi zetu 2024 na 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!

Nimesikia kauli ya mbunge mmoja akitamka kauli ya hatari mbele ya viongozi wake wa chama na mbele ya umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo wa hadhara.

Amesema hadharani kuwa, chaguzi zijazo 2024&2025, hapatakuwa na DEMOKRASIA. Kauli hii Kwa kuwa haikukanushwa na viongozi wake wakuu wa chama, ni dhahiri kuwa wamepanga kuendelea hujuma ya 2019&2020.

Kwa kuwa Yupo Mungu katika Nchi hii ya Tanzania, Kwa UMOJA wetu tumwombe awatume Malaika wake wa NURU, wenye panga zenye makali kuwili Ili waje kushughulika na wote watakaojaribu kupora HAKI yetu ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.

Tujitokeze Kwa wingi kudai Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya KABLA ya UCHAGUZI wowote, Kisha tujitokeze kupiga kura na kuhakikisha HAKI inatendeka.

Wote tuseme Aaamin!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
 
(Hesabu 23:19)

Mungu Si mtu aseme uongo, Wala Si mwanadamu ajute,

Iwapo amesema, hatalitenda?

Iwapo amesema, hatalifikiliza?
 
Kwa kuwa viongozi wote Nchi hii, wanatokana na Sanduku la kura kikatiba Kwa namna Moja au ingine,

Kuruhusu wizi wa kura au vitendo vya dhuluma, ni kunajisi Uchumi na maendeleo yetu Kwa sababu, viongozi watokanao na dhuluma, kamwe hawawezi kusaidia wananchi kujiletea maendeleo.

Wote tunajua, Mali itokanayo na wizi haidumu, mtaji utokanao na wizi au Damu, kamwe haudumu, hufa na kupotea, ndio maana mipango ya viongozi watokanao na wizi wa kura yote Huwa haifanikiwi.

Wote tujitokeze kupinga HAKI yetu muhimu ya kikatiba isiporwe.
 
utashangaa Malaika nao ni CCM.
Dunia inasogelea nyakati za kutisha zaidi,

Tunakoelekea, Nchi zote zitakuwa na mtikisiko wa kiuchumi, hivyo hapatakuwa na Nchi ya kuisaidia Nchi ingine.

Tusipoondokana na viongozi watokanao na wizi wa kura, viongozi tegemezi, wasio na maono, Nchi itastuck!!

Ni muda sahihi, Sanduku la kura, litoe viongozi sahihi wa kulivusha Taifa.

Bidhaa adimu duniani tuelekeapo ni chakula, vita na majanga yatapunguza stock ya chakula duniani Kwa kiasi kikubwa.

Fursa tulionayo ni KILIMO, tulime, tupack chakula na kuuza ziada duniani Kwa faida.

Mungu atusaidie.
 
Na Kwakuwa nimeomba hayo katika KWELI na HAKI, imekuwa katika JINA la Mungu mmoja, Yesu Kristo. Amen
 
Siutaona watashinda Ccm
Ikiwa wachaguliwa Kwa HAKI ni sawa,

Lakini wakijaribu kupotoa HAKI, utaona hatma ya viongozi hao siku chache zijazo.

Mungu hajatutuma siasani kimakosa.

Mungu ana mpango na Tanzania.

Tusubiri.
 
Salaam, shalom!

Nimesikia kauli ya mbunge mmoja akitamka kauli ya hatari mbele ya viongozi wake wa chama na mbele ya umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo wa hadhara.

Amesema hadharani kuwa, chaguzi zijazo 2024&2025, hapatakuwa na DEMOKRASIA. Kauli hii Kwa kuwa haikukanushwa na viongozi wake wakuu wa chama, ni dhahiri kuwa wamepanga kuendelea hujuma ya 2019&2020.

Kwa kuwa Yupo Mungu katika Nchi hii ya Tanzania, Kwa UMOJA wetu tumwombe awatume Malaika wake wa NURU, wenye panga zenye makali kuwili Ili waje kushughulika na wote watakaojaribu kupora HAKI yetu ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.

Tujitokeze Kwa wingi kudai Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya KABLA ya UCHAGUZI wowote, Kisha tujitokeze kupiga kura na kuhakikisha HAKI inatendeka.

Wote tuseme Aaamin!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Mtego uliopo Kwa walimu no mkubwa sana!

Ngoja tuone!!
 
Salaam, shalom!

Nimesikia kauli ya mbunge mmoja akitamka kauli ya hatari mbele ya viongozi wake wa chama na mbele ya umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo wa hadhara.

Amesema hadharani kuwa, chaguzi zijazo 2024&2025, hapatakuwa na DEMOKRASIA. Kauli hii Kwa kuwa haikukanushwa na viongozi wake wakuu wa chama, ni dhahiri kuwa wamepanga kuendelea hujuma ya 2019&2020.

Kwa kuwa Yupo Mungu katika Nchi hii ya Tanzania, Kwa UMOJA wetu tumwombe awatume Malaika wake wa NURU, wenye panga zenye makali kuwili Ili waje kushughulika na wote watakaojaribu kupora HAKI yetu ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.

Tujitokeze Kwa wingi kudai Tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya KABLA ya UCHAGUZI wowote, Kisha tujitokeze kupiga kura na kuhakikisha HAKI inatendeka.

Wote tuseme Aaamin!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Amen
 
Ikiwa tutaruhusu viongozi watokanao na wizi wa kura, tutawezaje kuzuia ubadhirifu wa Mali na pesa za umma?

Tusikubali udhalimu utamalaki katika Nchi.
 
Hakuna haja ya kufanya maombi, kumwomba Mungu alete malaika kuja kuwashughulikia ni kupoteza muda. Tushughulike nao sie wenyewe. Kukubali kuingia kwenye uchaguzi kwa katiba hii na tume hii iliyopewa jila la tume huru ya uchaguzi ni kuruhusu wizi na uchafu wote ambao unajua ccm wanao.
 
Hakuna haja ya kufanya maombi, kumwomba Mungu alete malaika kuja kuwashughulikia ni kupoteza muda. Tushughulike nao sie wenyewe. Kukubali kuingia kwenye uchaguzi kwa katiba hii na tume hii iliyopewa jila la tume huru ya uchaguzi ni kuruhusu wizi na uchafu wote ambao unajua ccm wanao.
Hata Mimi sijasema tusishughulike,

Tushuliulike, wao watakapokuja na silaha Kupambana na wenye HAKI, wakutane na mkono wa Mungu.

Hiyo ndiyo Hasa KAZI ya Kualika Malaika watutangulie.

Sijui umeelewa?
 
Dunia inasogelea nyakati za kutisha zaidi,

Tunakoelekea, Nchi zote zitakuwa na mtikisiko wa kiuchumi, hivyo hapatakuwa na Nchi ya kuisaidia Nchi ingine.

Tusipoondokana na viongozi watokanao na wizi wa kura, viongozi tegemezi, wasio na maono, Nchi itastuck!!

Ni muda sahihi, Sanduku la kura, litoe viongozi sahihi wa kulivusha Taifa.

Bidhaa adimu duniani tuelekeapo ni chakula, vita na majanga yatapunguza stock ya chakula duniani Kwa kiasi kikubwa.

Fursa tulionayo ni KILIMO, tulime, tupack chakula na kuuza ziada duniani Kwa faida.

Mungu atusaidie.
Kupiga kura ni haki yangu lkn kuanzia sasa kura yangu sitaipoteza kindezi hivi😂😂😂
 
Back
Top Bottom