Hahaha,nimecheka sana!Aliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
πππAliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Binam usijali kwa hilo yupo njiani nae anakujaNaam nitafurahi, kama mmeo ana kamzigo anitumie chap nikuletee
Hahahahahahaha washindwe wanaokuwazia mabayaHahahah nikutoe figo niipeleke wapi binamu?
Anavyopenda chini yule mzinza ataniibia hadi mke wangu simuiti ngβooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo Tegeta nyuki hawezi enda fanya vacation? Vacation hata wewe ukiwa tandale unaweza kuifanya kokote kule kikubwa pochi tu mama!!
Hahaha,nimecheka sana!
Kwani Mkuu we cha muhimu si vacation tu,bila kujali anatoka tegeta nyuki au US
Hahaha nmecheka walaaahAliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah mechekaaAliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Hujaelewa!
Alikua anajifanya yupo abroad na na namba ilikua ya nje kweli
Hivyo nilikua nafanya maandalizi ya kumpokea foreigner tukale bata
Mungu siyo Aisha
Siri ikafichuka
Umebagua mimi siwezi kujaKhantwe pia karibu
Njoo huku Buguruni tule bata...sikudanganyi kama mzee wa Tegeta Nyuki...πππUmebagua mimi siwezi kuja
Pacha umenichanganyia madesa hapaNjoo huku Buguruni tule bata...sikudanganyi kama mzee wa Tegeta Nyuki...πππ
Haha yule ana matatizo yani anamaliza sabuni na avatar hii wenzie huwa wanamalizia kwenye churaTeh teh umenikumbusha ule uzi jamaa anapagawa na avatar yako, sasa kama avatar tu inapagawisha wewe je? Halafu mie mwanamke yeyote kwangu ni mrembo.