Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifanyajee
Sema kweli dada
Umeona fursa hiyo bibiye
Fursa kwa wengine dingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Aliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Binam lazima niwepo wewe tenaBinamu lazima uwepo usilete swaga zako za Mwanza kama siku zote
Hii ndio jfAliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Aliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Hahahahahahaahhaahahahhanime kutrace IP address yako kumbe uko hapa hapa Bongo.....lakini si mbaya mkuu...kama kweli una umatemate nitakupa mademu wawili tu wa mwananyamala utarudi hoi
Wewe huendi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pacha umenikumbusha kitu nimejikuta nacheka sana
Amesema anataka waremboWewe huendi??
Hahahahahahahahha. Yaani watuAliniambia nijiandae twende vocation akitua tu Tz tutaenda kula bata,
Nikasubiri wee kumbe jamaa alikua Tegeta nyuki
Haaaaa jamani. Basi hayaAmesema anataka warembo
Hello JF kama ule msemo wetu pendwa ulivyo #kazinabata# basi nami nawaalika warembo wa JF wasizidi 10 tule bata pamoja au sio?
Tarehe 26 nitaruka kutoka Washington Dules international Airport kuelekea Dar es Salaam then tarehe 28 nitakua free kwenye viunga vya Dar so napendelea kujulishwa viwanja vipya vya kujivinjari na warembo wangu wa JF!! Baada ya hapo Tarehe 30 tutakua na flight kuelekea Serengeti then Ngorongoro na kurudi Dar es Salaam tarehe 3 January.
Hivyo ukiwa kama mrembo wa JF karibu sana u join nami and all bills zitakuwa juu yangu only nahitaji hangout tuu. Zawadi pia zitakuwepo.
Watakao hitaji karibuni sana hapa au PM.
Karibuni.