Mamitoo uwe na mipaka ya kuvumilia please, kama ni mara nyingi sana fikiria jipange upya unachokitaka maishani. What a man anachokifanya wich better akupige mangumi ni killing you psychologically, take it as it is with time utajiona huna thamani as human being coz utapoteza kujiamni what will follow is u being his victim for the rest of ur life if hutafika mahali ukaona enough is enough! I remember what my former did to me with my CPA,MBA plus good post in the office was his victim, nilikuwa natembea na moyo wake nikipiga simu hapatikani nakaribia kufa, akiongea na simu nikiwa naye nahisi mademu, mtu akiniudhi tu machozi yananitoka yaani was confident,smart woman lakini aliviondoa vyote, familia ilingilia kati lakini wapi sisikii siambiwi ila haipitiki a week lazima anilize, ikafika wakati huyo mwanamke anamfuta kwake na mm nipo wanaondoka! nilipoona nakaribia kupoteza kazi nikazinduka na kujiondoa taratibu, kila wkt akifanya utumbo will say I m sor na namsamehe fasta, alippona hana cha kusema akawa anasema ' nakupenda sana ila u dont deserve me move on coz nakutesa' So wether ni mume or bf pima kwa kiwango gani unaweza endelea vumilia otherwise MOVE ON! There are good guys out there believe me ambaye will treat you like a LADY