Nawachukia baadhi ya wanaume kuanzia leo

<br />
<br />
Nilishafanya uchunguzi wa kina
 

Asante sana mydear, hasa hapo kwa red umenigusa.
 
<br />
<br />
Hajui km kuna JF wala ID yangu haijui

...hata akijua heri tu, ndio kwanza itamsaidia kujua 'unavyomfikiria ki -upande wa pili wa shilingi!'
 
A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! a little patience can win a great plan! so vumilia kidogo DA. kumbuka falling down doesn't mean being burried!! cool and heal down na kesho is a new day na utaamka fitter and better and your man will be lovelier!! pole kwa leo. usikose kutujuza when you are up and running great, kama kawa'yako!
 
<br />
<br />
Sante sana
 
<br />
<br />
Pamoja sama. BTW. Nilifata ushauri wako wa jana
 
Reactions: Mbu
Duu mbona wanaume ndo kila kitu kwenye jammii, bila wao ni sawa na kuku bila jogoo!
Tatizo hapa ni wanawake pa na tamaduni zetu ikiwamo hata na baadhi ya dini
Kama umechukizw kimapenzi tambua pia aliyemkubalia huyo mumeo ni mwanamke. Ingawa huyu mwanamke angebana hicho kibakuli chake basi mwanaume asingekua na shida labda abake tuu. Pia nanyi mnawatamani hawa wanaume, ni baadhi tuu wanaoonesha mapenzi ya dhat.

Wanawake pia tunasikitisha

Kna mwanamke mmja hivi majuzi alikumbwa na ballaa baada ya kugundulika anasambaza Ngoma kwa makusudi.embu angalia hli
 
Dena hii ninayotuma ni post yangu ya 1000,nai dedicate maalum kwako Shem na kukutakia maisha ya furaha na yenye mahusiano mema na mwenza wako mmmmmwwwwaaaaaaaaaaaaaaaa (la ushem)!
 
Kwahiyo unatangazia umma tunazo ili.....?!

E- e- e-e- e taratubu ndugu zangu, wengine tuna aleji pande hiyo, ukuzingatia leo zimeleta mtafatuku kidogo mh kasheshe.
 
<font face="Book Antiqua"><font size="3"><font color="darkred">Enhe, ulionaje? ilikusaidia <i>'japo kidogo'</i> ama?</font></font></font>
<br />
<br />
Ilinisaidia sana si kidogo thamx
 
Reactions: Mbu
Its so touching nikisoma btn lines.

Pole sana hapa ni hasira ndio ilikuongoza kuandika hapa na unaonyesha hisia kabisa kile unachomaanisha.

Mungu akuongoze uyashinde majaribu pole sana
 
Pole sana Dena, hiyo ni wimbi tu linalotokea ktk mahusiano yoyote kikubwa ni KUSAMEHEANA,KUVUMILIANA,KUOMBA MUNGU AKUZIDISHIE UPENDO,HEKIMA,BUSARA NA MOYO WA SUBIRA KTK MAAMUZI YAKO MENGI. Pole sana Dena.

Mamitoo uwe na mipaka ya kuvumilia please, kama ni mara nyingi sana fikiria jipange upya unachokitaka maishani. What a man anachokifanya wich better akupige mangumi ni killing you psychologically, take it as it is with time utajiona huna thamani as human being coz utapoteza kujiamni what will follow is u being his victim for the rest of ur life if hutafika mahali ukaona enough is enough! I remember what my former did to me with my CPA,MBA plus good post in the office was his victim, nilikuwa natembea na moyo wake nikipiga simu hapatikani nakaribia kufa, akiongea na simu nikiwa naye nahisi mademu, mtu akiniudhi tu machozi yananitoka yaani was confident,smart woman lakini aliviondoa vyote, familia ilingilia kati lakini wapi sisikii siambiwi ila haipitiki a week lazima anilize, ikafika wakati huyo mwanamke anamfuta kwake na mm nipo wanaondoka! nilipoona nakaribia kupoteza kazi nikazinduka na kujiondoa taratibu, kila wkt akifanya utumbo will say I m sor na namsamehe fasta, alippona hana cha kusema akawa anasema ' nakupenda sana ila u dont deserve me move on coz nakutesa' So wether ni mume or bf pima kwa kiwango gani unaweza endelea vumilia otherwise MOVE ON! There are good guys out there believe me ambaye will treat you like a LADY
 
mama umefika mbali yani mpaka kakazako babazako pia umewatukana hao pia wanaume sikunyingine fafanua sifa.
 


Dah nimekusoma vyema its like me thanks my dear will try my level best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…