CPU shughuli ya retirement celebration ya dad , by the way,ilikwendaje? naomba uniPM unijuze kijana wangu if you do not mind.Kama vipi nitukane tu, ikibidi nichukie.
Lakin niliyokueleza ndio msingi wa kuishi na watu vizuri
Siondoki, sitaondoka na wala sina mpango wa kuondoka ktk hii thread
Hasira gani hizo we mdada??? Heeeee!!
Huwezi hata kujishusha??
we msema kweli,hapo umenena!Hayo malalamiko yaweza kusemwa pia kuhusu "baadhi ya wanawake". Ubaya na uzuri uko kotekote.
nanyi hampendeki vile vile,lol!pole swthat, wanaume ndivyo walivyo mwaya, hawabebeki, hawapendeki, hawana shukrani n.k. Tafuta mahal nenda kapumzishe akil, utapata sukar bure.
shem, hivi una wivu na Asha? dddjuuuu ya nini D?Mbona wanipandisha hasira zilizoanza kushuka Kaizer??
Kwanini hamna huruma?
Kwanini hamthamini wanawake?
Kwanini hamna heshima na adabu?
Kwanini Hamthamini michango yetu kwenye familia??
Kwanini Mnamadharau?
Kwanini hamjali maumivu msababishayo kwa mkeo?
Kwanini hamjali hisia tulizonazo??
Kwanini mawasiliano mwanamke tu ndo aanze??
KWanini hamjali msaada mnaopewa??
NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA MILELE SIWAPENDI
JF Ingeruhusu matusi nadhani hasira yangu ingeishia hapa leo.............ukoje wewe mwanaume upendweje?? Usaidiweje?? Ujaliweje?
Ngoja nika............oohh gooooshi nilale tu
Mtu asiniulize nini kimenikuta but nimeumizwa vya kutosha today nasema kilichonisibu
Kwanini hamna huruma?
Kwanini hamthamini wanawake?
Kwanini hamna heshima na adabu?
Kwanini Hamthamini michango yetu kwenye familia??
Kwanini Mnamadharau?
Kwanini hamjali maumivu msababishayo kwa mkeo?
Kwanini hamjali hisia tulizonazo??
Kwanini mawasiliano mwanamke tu ndo aanze??
KWanini hamjali msaada mnaopewa??
NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA MILELE SIWAPENDI
JF Ingeruhusu matusi nadhani hasira yangu ingeishia hapa leo.............ukoje wewe mwanaume upendweje?? Usaidiweje?? Ujaliweje?
Ngoja nika............oohh gooooshi nilale tu
Mtu asiniulize nini kimenikuta but nimeumizwa vya kutosha today nasema kilichonisibu
Si ndio maana nimesema baadhi Magulumangu au hukunielewa??
pole mpnz...jipumzikie au nenda sehemu ukapunge upepo urefresh akili yako!!
Sipiyu dah...kwani jf kazi yake nini kama sio sehemu ya kupoozana na kupeana mawazo!!
We acha tuu ninaye miaka nenda rudi lakini amezidi sasa ananiudhi kupita maelezo hajali kabisa maumivu yangu m*** sna huyu jamaa na hasira leo naweza ua mtu
Honey, haya mambo si ungenieleza tu hapa home tukayamaliza badala ya kwenda ku-yell huko jamvini?Kwanini hamna huruma?
Kwanini hamthamini wanawake?
Kwanini hamna heshima na adabu?
Kwanini Hamthamini michango yetu kwenye familia??
Kwanini Mnamadharau?
Kwanini hamjali maumivu msababishayo kwa mkeo?
Kwanini hamjali hisia tulizonazo??
Kwanini mawasiliano mwanamke tu ndo aanze??
KWanini hamjali msaada mnaopewa??
NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA MILELE SIWAPENDI
JF Ingeruhusu matusi nadhani hasira yangu ingeishia hapa leo.............ukoje wewe mwanaume upendweje?? Usaidiweje?? Ujaliweje?
Ngoja nika............oohh gooooshi nilale tu
Mtu asiniulize nini kimenikuta but nimeumizwa vya kutosha today nasema kilichonisibu
Pole dena ila sio wote bwana.....umeingia cha kiume wewe.....Jipange tena kuanza round ya pili...