Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
CPU shughuli ya retirement celebration ya dad , by the way,ilikwendaje? naomba uniPM unijuze kijana wangu if you do not mind.Kama vipi nitukane tu, ikibidi nichukie.
Lakin niliyokueleza ndio msingi wa kuishi na watu vizuri
Siondoki, sitaondoka na wala sina mpango wa kuondoka ktk hii thread
Hasira gani hizo we mdada??? Heeeee!!
Huwezi hata kujishusha??