Acha izo wewe..Asubuhi yote hii umeshaanza kufukunyua vitu!?[emoji41][emoji38]Kazi yangu kuwaangalia wanaolike mada maana yake wanakazia mada na yalishawakuta hivyo hawapendi tabia hizo..[emoji1787]
Naona hadi yule mchawi wa Wachawi kalike..[emoji23]
Hii comment kaandika mtoto wake mshana au mshana mwenyewe[emoji2][emoji2][emoji2]Mi nashauri wanaume wenzangu mademu wa dizaini hii unamla na tg ili kuwe na win win situation.
Wengine ndio starehe yao
Nimemnukuu mtoa mada kisha nikaweka comment yangu chiniHii comment kaandika mtoto wake mshana au mshana mwenyewe
Ya upenuni hayafukunyuliwi..Acha izo wewe..Asubuhi yote hii umeshaanza kufukunyua vitu!?[emoji41][emoji38]
Na kaishatoa ushauri waliwe vinyeoKazi yangu kuwaangalia wanaolike mada maana yake wanakazia mada na yalishawakuta hivyo hawapendi tabia hizo..[emoji1787]
Naona hadi yule mchawi wa Wachawi kalike..[emoji23]
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Na kaishatoa ushauri waliwe vinyeo
Ngoja nikuweke kiporo kwanza nikamalizane na manaraYa upenuni hayafukunyuliwi..
Hata hivyo hongera..[emoji1787]
Yaani hii unaeza kuwa unamkusanyia mtu 50k weekly. Bado hamjaenda kupiga masanga na kitimoto. Kweli tumeubwa mateso!!Naomba hela ya mchezo
Na ndo tunamtegemea kama Kaka mkubwa ambae ni mshauri wetu..🤣Na kaishatoa ushauri waliwe vinyeo
Na wengine hiyo ndio gia yao ya kuondowa usumbufu, unapigwa kirungu hurudi tena usumbufu unaishia hapo, siyo kila ukimuona mtoto wa watu yupo online tayari unademka, na wao wamepata njia mbadala ya kuondowa usumbufu.Inaondoa hata hamu ya kuwasiliana nae kila ukiiwaza hiyo sentence