johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaweza usielewe sasa lakini huko mbele ya safari utaelewa tu, hawa mawaziri wawili wamekalia kuti kavu.
Katikati ya Corona sukari imeadimika madukani watu wanalazimika kusongamana bila kupenda wakiitafuta sukari.
Sisi tulioishi wakati wa vita vya Kagera tunaamini Corona ni vita na hali ya upatikanaji wa sukari haitarejea kwenye hali yake ya kawaida hivi karibuni hivyo waziri awe muwazi mapema wananchi watamuelewa.
Tusisahau kuwa wanasiasa wa Tanzania huangushwa na sukari mfano Prof Mbilinyi, rip Idd Simba nk
Maendeleo hayana vyama!
Katikati ya Corona sukari imeadimika madukani watu wanalazimika kusongamana bila kupenda wakiitafuta sukari.
Sisi tulioishi wakati wa vita vya Kagera tunaamini Corona ni vita na hali ya upatikanaji wa sukari haitarejea kwenye hali yake ya kawaida hivi karibuni hivyo waziri awe muwazi mapema wananchi watamuelewa.
Tusisahau kuwa wanasiasa wa Tanzania huangushwa na sukari mfano Prof Mbilinyi, rip Idd Simba nk
Maendeleo hayana vyama!