Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Yaani wewe serikali ikifanya poa mtu akapongeza ni ccm au ikifanya fyonko mtu akaponda basi ni mwanachama wa upinzani...Wewe unafaa ukue uzidi kujifunza kwa wenzio waliokomaa kisiasa.Naona maccm yanapigana yenyewe kwa yenyewe.
Mpinzani angeongea ungesema katumwa na mabeberu je na huyu mwana ccm mwenzako naye katumwa?