Nawaibia siri wanaume wenzangu,Mama ntilie ni wife materials.

Nawaibia siri wanaume wenzangu,Mama ntilie ni wife materials.

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Kuna sehemu hivi huwa napiga menu ,ni hii migahawa ya mtaani maarufu kama kwa mama ntilie.so nimeanzisha mahusiano ya kimapenzi na huyu demu,ebana she is very loyal and respective kwangu.
Jana usiku wakati namgegeda nikamuuliza mtaji anataka nimuongezee kiasi gani,kaniambia laki 2 na nusu tu inahitajika,leo nimempa yote. Kaniambia kodi ya pango ni hadi mwezi wa 9 huko,anapoishi pia kodi ni hadi mwezi wa 7 huko.so labda cost ninazohitajika kutoa ni mambo madogo madogo like kusuka na mambo kama hayo.
Hamieni huku wajuba.
 
Mazingira yako yanakukutanisha nao wengine tunafanya kaz na kukaa sehemu ambayo sio rahisi ukutane na mama ntilie
 
Wacha wee 🤣🤣🤣

Hao ni single mothers waliomua kujiajiri kazi kwako
 
Kupanga ni kuchagua ukimpenda hakuna shida, oa mengine baadaye. Maana kama hata barmaid anaolewa na kutulia, basi hakuna matata.
 
Back
Top Bottom