Nawakubali sana hawa members wa jf, Mzee wa kupambania, Natafuta ajira, Extrovert, Equation x, mzabzab, DeepPond, Robert mtibeli, Analyse na Umughaka

Nawakubali sana hawa members wa jf, Mzee wa kupambania, Natafuta ajira, Extrovert, Equation x, mzabzab, DeepPond, Robert mtibeli, Analyse na Umughaka

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Shout out to you brothers, wengine kati yenu mna vipaji vya kuelezea story k.v Eric shigongo, wengine mnatoa post zenye falsafa iliyo timamu, wengine kati yenu huwa nikisomaga comments au post zenu mara nyingi huwaga nacheka kabla ya kujibu, wengine majina yenu ya humu yanachekesha, mara mwingine aseme eti ana-post huku anabubujikwa na machozi 😂😂😂😂

Bila kumsahau field marshall gentamcine 😂😂 na Lucas mwashambwa 😂😂😂😂😂

By the way maveteran wa jf k.v gudume na general galadudu sijui waliishiaga wapi 😂😂😂😂😂
 
Katika post yako yuko mmiliki wa ID ya General Galadudu sasa sijui alisahau password?
Mi nimemiss sana story zake zenye mwendelezo hasa ile yake na mke wa mjeshi.
Kuna mwingine alikodisha taxi toka kisarawe sijui au Tanga kama sikosei hadi dar kwenda kumpiga mzee wa kanisa aliekuwa anatembea na
mkewe 😂😂

Mwingine anajiita boby dolat sijui, alimtongoza demu wa chuo, kwenye date ya kwanza kapelekwa kempisiki hlf mfukoni kidume ana elf 80 tu, aliaibika mbele za mdada na mbele za watu ilibidi aweke bond simu kulipa bill ya laki 2 na ushee 😂

Mwingine namwita Mzee wa uturn alimtongoza mdada mrembo ambae mi co worker ofisini kwake, kwenye dating tu mdada anampeleka mkaka sea cliff, mara Ramada, siku ya shopping mdada kampeleka mkaka mlimani city, mkaka alivoona mdada ananunua vitu expensive na hatoweza bill, akapiga u turn akazima simu akamkimbia huyo mdada.

Mkaka mwingine wa jf story yake anasema alikuwa na million 5 za ofisini ambazo si zake ni za boss, akapita baa, alivomwona mrembo akamchukua akaenda kulala nae chumbani, ilivofika asubuhi alivoangalia begi alikuta million 5 zimeibiwa, baada ya hapo alichonichekesha ni kuwa anasema alivofika chooni alijamba kwa pupa huku akikojoa bila kulenga tundu 😂😂😂

Wanaume wengi wa jf Wana story za vituko sana 😂😂😂😂😂 Nifah
 
Ila raraa reree na Min-me wanafanya nijione mtu sana maan hata nikiandika pumba wao hawan baya wana likes😂😂😂
 
Shout out to you brothers, wengine kati yenu mna vipaji vya kuelezea story k.v Eric shigongo, wengine mnatoa post zenye falsafa iliyo timamu, wengine kati yenu huwa nikisomaga comments au post zenu mara nyingi huwaga nacheka kabla ya kujibu, wengine majina yenu ya humu yanachekesha, mara mwingine aseme eti ana-post huku anabubujikwa na machozi 😂😂😂😂

Bila kumsahau field marshall gentamcine 😂😂 na Lucas mwashambwa 😂😂😂😂😂

By the way maveteran wa jf k.v gudume na general galadudu sijui waliishiaga wapi 😂😂😂😂😂
Ambao hawajatajwa HAINA NAMNA WAWE NA SUBRA 😅🤣😂
 
Back
Top Bottom