Kwa maelezo zaidi amDM mkubwa Luca ndio mishe zake hizo.Kama unatafuta kazi ya uchawa nakushauri omba muongozo ujue kuchawia mahala sahihi usipoteze nguvu zako
Kuna mwingine alikodisha taxi toka kisarawe sijui au Tanga kama sikosei hadi dar kwenda kumpiga mzee wa kanisa aliekuwa anatembea naKatika post yako yuko mmiliki wa ID ya General Galadudu sasa sijui alisahau password?
Mi nimemiss sana story zake zenye mwendelezo hasa ile yake na mke wa mjeshi.
Nshamtaja mbona Wagumu TunadumuUzi bila kumtaja GENTA mvuta majani,haujakamilika
Fo shoouaNi jambo zuri kuwapa maua watu wanaokufurahisha
mkuu wewe ni muhaya?Safi sana, ebu pita hapo kwa mshombile akupatie lubisi kubwa kwa urefu wa mfuko wako.
Ambao hawajatajwa HAINA NAMNA WAWE NA SUBRA π π€£πShout out to you brothers, wengine kati yenu mna vipaji vya kuelezea story k.v Eric shigongo, wengine mnatoa post zenye falsafa iliyo timamu, wengine kati yenu huwa nikisomaga comments au post zenu mara nyingi huwaga nacheka kabla ya kujibu, wengine majina yenu ya humu yanachekesha, mara mwingine aseme eti ana-post huku anabubujikwa na machozi ππππ
Bila kumsahau field marshall gentamcine ππ na Lucas mwashambwa πππππ
By the way maveteran wa jf k.v gudume na general galadudu sijui waliishiaga wapi πππππ
Hapana mkuu, ila nimeishi na hiyo jamii kwa miaka kadhaamkuu wewe ni muhaya?