Nawakumbusha, members wote wa JamiiForums

Nawakumbusha, members wote wa JamiiForums

NAKUKUMBUSHA TU KUWA
Mwaka na Umri havirudi nyuma

1975=42
1976=41
1977=40
1978=39
1979=38
1980=37
1981=36
1982=35
1983=34
1984=33
1985=32
1986=31
1987=30
1988=29
1989=28
1990=27
1991=26
1992=25
1993=24
1994=23
1995=22
1996=21
1997=20

MWISHO:Sasa wewe endelea kujiona bado mdogo
mbn mwaka wangu haupo hapa..
 
Mmh. Hebu wowa na wewe unasubiri nini umri unaenda huo. [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu kuja kwenye jukwaa letu huku
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu kuja kwenye jukwaa letu huku
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja niwahi [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Umri ni namba tu, tatizo mafanikio ya mbeleni ndio mpango mzima, waweza kuwa una 40 na uko nyumbani wakati mwenzako yuko na 25 na amefanikiwa usijali Mungu yupo na unaweza kufanikiwa ukiwa na 40+ wakati huyu aliefanikiwa akiwa na 25 kipindi hicho atakuwa na 25+ na amefulia
 
Dah, 91sina nyumba wala biashara yeyote town natumikia uindini madogo kibao kitaa wananisalimia mpka naona noma
 
Nasikiaga eti "life begins at 40" 😀
At 40's ni age ya kushushudia mafabikio yako kwa macho sio ndoto tena au malengo,
Age of proving that you hv succeeded or totally
56b10a3a88d8dc3a4a5f2538af78fffa.jpg
failed
 
NAKUKUMBUSHA TU KUWA
Mwaka na Umri havirudi nyuma

1975=42
1976=41
1977=40
1978=39
1979=38
1980=37
1981=36
1982=35
1983=34
1984=33
1985=32
1986=31
1987=30
1988=29
1989=28
1990=27
1991=26
1992=25
1993=24
1994=23
1995=22
1996=21
1997=20

MWISHO:Sasa wewe endelea kujiona bado mdogo
f3d728f25ae828e9ddea9cc55399c143.jpg

Chek umri wako hapo na mambo unanayo fanya kama vinawiana!
 
Back
Top Bottom