Nawakumbusha tu: Miaka hiyo tuliimba tu kama kujifurahisha wala hatukujua maana yake

Nawakumbusha tu: Miaka hiyo tuliimba tu kama kujifurahisha wala hatukujua maana yake

Wala siku-challange!mwamko wa elimu zamani ulikuwa mdogo,hivyo number ya watoto ilibalance na mwalimu,siku hizi Elimu imepanuliwa,mitaala imeboreshwa,shule za kata zimejengwa kila Kona,wazazi wamehamasishwa wapeleke watoto shuleni Kwa wingi na wamefanya hivyo siku hizi hata kupata house dada ni kisanga,Cha ajabu walimu hamna...Sasa kusema elimu mbovu sio kweli sema tuna uhaba wa waelimishaji
Madarasa yameongezeka
Watoto ni wengi
Walimu ni wachache

Walimu wa masomo ya science ndio haha zaidi

Twende Sasa[emoji116]
Miundo mbinu bado ni haba, maabara na nyezo za ufundishaji kwa vitendo
Muwajibikaji namba moja hapa ni serikali

Bado watoto wetu wanasoma historia ya science na sio applied science
Bado muhusika ni serikali kushindwa kuandaa mitaala itakayo endana na Kasi ya dunia

Walimu wachache makazi, Ila mtaani walimu bado wapo wengi tu hawana hajira. Eg Mpwayungu Village
Serikali wakulaumiwa hapa, yeye ndio mtoa hajira[emoji115]

Walimu wengi ni failure class, why serikali isifanye mchakato wa kuchukua best/good students A or B

Mchakato wa kuajiri walimu ni Kama fungulia mbwa, no interview, how competent you are? You know to to derive contents? Achana nalo wewe twende tu
Tatizo ni serikali serikali [emoji115]

Walimu hawajitumi au hawwfundishi kwa moyo, hii inavhangiwa Sana na mishahara kuwa kidogo reffer post za mpwayunga vilage

Idadi ya wanafunzi ni kubwa mno kukiwa na 70% slow leaners amabo wanaenda kuzi-face changamoto hizo

Watoto wengi wa Sasa hivi hawawezi kuwa smart, mazingira yanawakataa
 
Madarasa yameongezeka
Watoto ni wengi
Walimu ni wachache

Walimu wa masomo ya science ndio haha zaidi

Twende Sasa[emoji116]
Miundo mbinu bado ni haba, maabara na nyezo za ufundishaji kwa vitendo
Muwajibikaji namba moja hapa ni serikali

Bado watoto wetu wanasoma historia ya science na sio applied science
Bado muhusika ni serikali kushindwa kuandaa mitaala itakayo endana na Kasi ya dunia

Walimu wachache makazi, Ila mtaani walimu bado wapo wengi tu hawana hajira. Eg Mpwayungu Village
Serikali wakulaumiwa hapa, yeye ndio mtoa hajira[emoji115]

Walimu wengi ni failure class, why serikali isifanye mchakato wa kuchukua best/good students A or B

Mchakato wa kuajiri walimu ni Kama fungulia mbwa, no interview, how competent you are? You know to to derive contents? Achana nalo wewe twende tu
Tatizo ni serikali serikali [emoji115]

Walimu hawajitumi au hawwfundishi kwa moyo, hii inavhangiwa Sana na mishahara kuwa kidogo reffer post za mpwayunga vilage

Idadi ya wanafunzi ni kubwa mno kukiwa na 70% slow leaners amabo wanaenda kuzi-face changamoto hizo

Watoto wengi wa Sasa hivi hawawezi kuwa smart, mazingira yanawakataa
Hapo Sasa tunaenda sawa,hapo ndio utaelewa umuhimu wa private school ambayo mtoa mada anazikandia.....Kuna mwanafunzi anasoma science hajawahi itia machoni test tube zaidi ya kuiona kwenye picha
 
View attachment 2769079
NAWAKUMBUSHA TU
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.

2. Akatamka mgonjwa,
ninaumwa kwelikweli,
Hata kama nikichanjwa,
haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa,
kifo kimenikabili,
Semeni niseme nini,
kiwafae maishani.

3. Yakawatoka kinywani,
maneno yenye akili,
Baba yetu wa thamani,
sisi tunataka mali,
Urithi tunatamani,
mali yetu ya halali,
Sema iko wapi mali,
itufae maishani

4. Baba aliye kufani,
akajibu lile swali,
Ninakufa maskini,
baba yenu sina hali,
Neno moja lishikeni,
kama mnataka mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

5. Wakazidi kumchimba,
baba mwenye homa kali,
Baba yetu watufumba,
hatujui fumbo hili,
akili zetu nyembamba,
hazijajua methali,
Kama tunataka mali,
tutapataje shambani?

6. Kwanza shirikianeni,
nawapa hiyo kauli,
Fanyeni kazi shambani,
mwisho mtapata mali,
haya sasa buriani,
kifo kimeniwasili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

7. Alipokwisha kutaja,
fumbo hili la akili,
Mauti nayo yakaja,
roho ikaacha mwili,
Na watoto kwa umoja,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

8. Fumbo wakatafakari,
watoto wale wawili,
wakakata na shauri,
baada ya siku mbili,
wote wakawa tayari,
pori nene kukabili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

9. Wakazipanda shambani,
mbegu nyingi mbalimbali,
tangu zile za mibuni,
hadi zitupazo wali,
na mvua ikaja chini,
wakaona na dalili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

10. Shamba wakapalilia,
bila kupata ajali,
Mavuno yakawajia,
wakafaidi ugali,
Wote wakashangilia,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

11. Wakanunua na ng'ombe,
majike kwa mafahali,
wakapata na vikombe,
mashine na baiskeli,
Hawakuitaka pombe,
sababu pombe si mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

2. Wakaongeza mazao,
na nyumba za matofali,
Pale penye shamba lao,
wakaihubiri mali,
Wakakiweka kibao,
wakaandika kauli...

"KAMA MNATAKA MALI
MTAIPATA SHAMBANI"
.
🚶
🚶
🚶
🚶
🚶
🚶

Miaka hiyo tuliimba tu kama kujifurahisha wala hatukujua maana yake, leo twatambua nini maana yake
Nawakumbusha tu
🏃🏾
Bado hatujasema 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
 
Hapo Sasa tunaenda sawa,hapo ndio utaelewa umuhimu wa private school ambayo mtoa mada anazikandia.....Kuna mwanafunzi anasoma science hajawahi itia machoni test tube zaidi ya kuiona kwenye picha
wengine hatukuwahi kufanya majaribio ya practical hata moja za physics na chemistry lakini Mungu ni mwema hatukupata F kwa rehema zake . Shule zetu za kata ni majengo tu
 
wengine hatukuwahi kufanya majaribio ya practical hata moja za physics na chemistry lakini Mungu ni mwema hatukupata F kwa rehema zake . Shule zetu za kata ni majengo tu
Bora mnao toa ushuhuda wa ukweli ,kuliko kusema shule ni nzuri wakati hazina vifaa wala walimu
 
Sikiri mi maskini, uvivu wangu nyumbani,
Nikiwa hapa njiani nakufa hapa Kwa Nini?
Sadiki Sasa ashiba, chakula kingi Kwa baba
Nikiwa hapa njiani nakufa hapa Kwa Nini?
Dah, umenikumbusha hiki kitabu nilisoma sijui darasa la ngapi primary.
 
Ujinga mtupu, wenzetu wanawaza technology ww unaleta mitaala iliyo pitwa na wakati.
 
View attachment 2769079
NAWAKUMBUSHA TU
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.

2. Akatamka mgonjwa,
ninaumwa kwelikweli,
Hata kama nikichanjwa,
haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa,
kifo kimenikabili,
Semeni niseme nini,
kiwafae maishani.

3. Yakawatoka kinywani,
maneno yenye akili,
Baba yetu wa thamani,
sisi tunataka mali,
Urithi tunatamani,
mali yetu ya halali,
Sema iko wapi mali,
itufae maishani

4. Baba aliye kufani,
akajibu lile swali,
Ninakufa maskini,
baba yenu sina hali,
Neno moja lishikeni,
kama mnataka mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

5. Wakazidi kumchimba,
baba mwenye homa kali,
Baba yetu watufumba,
hatujui fumbo hili,
akili zetu nyembamba,
hazijajua methali,
Kama tunataka mali,
tutapataje shambani?

6. Kwanza shirikianeni,
nawapa hiyo kauli,
Fanyeni kazi shambani,
mwisho mtapata mali,
haya sasa buriani,
kifo kimeniwasili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

7. Alipokwisha kutaja,
fumbo hili la akili,
Mauti nayo yakaja,
roho ikaacha mwili,
Na watoto kwa umoja,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

8. Fumbo wakatafakari,
watoto wale wawili,
wakakata na shauri,
baada ya siku mbili,
wote wakawa tayari,
pori nene kukabili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

9. Wakazipanda shambani,
mbegu nyingi mbalimbali,
tangu zile za mibuni,
hadi zitupazo wali,
na mvua ikaja chini,
wakaona na dalili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

10. Shamba wakapalilia,
bila kupata ajali,
Mavuno yakawajia,
wakafaidi ugali,
Wote wakashangilia,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

11. Wakanunua na ng'ombe,
majike kwa mafahali,
wakapata na vikombe,
mashine na baiskeli,
Hawakuitaka pombe,
sababu pombe si mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

2. Wakaongeza mazao,
na nyumba za matofali,
Pale penye shamba lao,
wakaihubiri mali,
Wakakiweka kibao,
wakaandika kauli...

"KAMA MNATAKA MALI
MTAIPATA SHAMBANI"
.
[emoji124]
[emoji124]
[emoji124]
[emoji124]
[emoji124]
[emoji124]

Miaka hiyo tuliimba tu kama kujifurahisha wala hatukujua maana yake, leo twatambua nini maana yake
Nawakumbusha tu
[emoji1493]
Umenikumbusha mbali sana!! Tuliimba sana zamani,sasa ndio tunaanza kuelewa.
 
View attachment 2769079
NAWAKUMBUSHA TU
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.

2. Akatamka mgonjwa,
ninaumwa kwelikweli,
Hata kama nikichanjwa,
haitoki homa kali,
Roho naona yachinjwa,
kifo kimenikabili,
Semeni niseme nini,
kiwafae maishani.

3. Yakawatoka kinywani,
maneno yenye akili,
Baba yetu wa thamani,
sisi tunataka mali,
Urithi tunatamani,
mali yetu ya halali,
Sema iko wapi mali,
itufae maishani

4. Baba aliye kufani,
akajibu lile swali,
Ninakufa maskini,
baba yenu sina hali,
Neno moja lishikeni,
kama mnataka mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

5. Wakazidi kumchimba,
baba mwenye homa kali,
Baba yetu watufumba,
hatujui fumbo hili,
akili zetu nyembamba,
hazijajua methali,
Kama tunataka mali,
tutapataje shambani?

6. Kwanza shirikianeni,
nawapa hiyo kauli,
Fanyeni kazi shambani,
mwisho mtapata mali,
haya sasa buriani,
kifo kimeniwasili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

7. Alipokwisha kutaja,
fumbo hili la akili,
Mauti nayo yakaja,
roho ikaacha mwili,
Na watoto kwa umoja,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

8. Fumbo wakatafakari,
watoto wale wawili,
wakakata na shauri,
baada ya siku mbili,
wote wakawa tayari,
pori nene kukabili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

9. Wakazipanda shambani,
mbegu nyingi mbalimbali,
tangu zile za mibuni,
hadi zitupazo wali,
na mvua ikaja chini,
wakaona na dalili,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

10. Shamba wakapalilia,
bila kupata ajali,
Mavuno yakawajia,
wakafaidi ugali,
Wote wakashangilia,
wakakumbuka kauli,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

11. Wakanunua na ng'ombe,
majike kwa mafahali,
wakapata na vikombe,
mashine na baiskeli,
Hawakuitaka pombe,
sababu pombe si mali,
Kama mnataka mali,
mtayapata shambani.

2. Wakaongeza mazao,
na nyumba za matofali,
Pale penye shamba lao,
wakaihubiri mali,
Wakakiweka kibao,
wakaandika kauli...

"KAMA MNATAKA MALI
MTAIPATA SHAMBANI"
.
🚶
🚶
🚶
🚶
🚶
🚶

Miaka hiyo tuliimba tu kama kujifurahisha wala hatukujua maana yake, leo twatambua nini maana yake
Nawakumbusha tu
Dah,,,nakumbuka
🤣🤣🤣🤣Kazururaaa wewe rupia zenyewe asipate akambulia kuvimba mapaja,,, akaona Bora angebaki zake shambani alime angepata mali
Majuto majukumu
 
Hoja kubwa ya mzee baba nadhani ilikuwa ni juhudi, maarifa na ubunifu katika kazi bila kusahau ushirikiano.
Mambo hayo matatu ama manne, yakizingatiwa pahala pa kazi (shamba) - ushindi (kutoboa) ni hakika.
 
Mimi mbona nimesoma version ya sadiki na chitemo?
Hii ya labda ya miaka 90, waliohitimu msingi 86 kurudi nyuma tunaikumbuka hii ya Sadiki na Sikili. Kama sikosei ni kiswahili darasa la tatu.
 
Hii ya labda ya miaka 90, waliohitimu msingi 86 kurudi nyuma tunaikumbuka hii ya Sadiki na Sikili. Kama sikosei ni kiswahili darasa la tatu.
Hii ya labda ya miaka 90, waliohitimu msingi 86 kurudi nyuma tunaikumbuka hii ya Sadiki na Sikili. Kama sikosei ni kiswahili darasa la tatu.
Darasa La 3 mwaka 1991 nimesoma hicho Sadiki na Sikiri.
Nadhani Chitemo ni miaka y'a 2000
 
Back
Top Bottom