KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Sina muda wa salamu.Kila mtu apambane na mzigo alionao.Kama una mzigo kichwani wa kilo tano za mawe pambana nazo.
Hii yanga mnayoiona bado sana haina namba 9 so dirisha dogo wanaingia sokoni kuchunua namba 9 anayejua.Makolo jipangeni second leg NBC PREMIER LEAGUE 🤣🤣
Mgeni rasmi na kocha wamekutwa chooni wanacheka.🤣🤣🤣🤣
Hii yanga mnayoiona bado sana haina namba 9 so dirisha dogo wanaingia sokoni kuchunua namba 9 anayejua.Makolo jipangeni second leg NBC PREMIER LEAGUE 🤣🤣
Mgeni rasmi na kocha wamekutwa chooni wanacheka.🤣🤣🤣🤣