Nawakumbusha tu zimebaki Siku 4 tu ili JWTZ waanze Msako wa Nguo zinazofanana na Sare zao Majumbani na Mitaani

Hao jei dabi yuu nao hamnazo kweli,wanaacha kudili na mambo yanayohusu mustakabali wa nchi yetu ,kama hili la DP world , na kuna mmarekani huko kapewa mamilion ya hekta sijui mwarabu ngorongoro. ,Mpaka Natamani ningekuwa mkuu wa majeshi . hongereni jeshi la niger kweli nyie ni jeshi la wananchi wa niger
 
Kama hivi au [emoji1]

Ova
Your browser is not able to display this video.
 
Wangepanda miti ingekuwa bora zaidi kuliko kuonyesha ubabe wao wa kipiga watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…