SINA JAMBO
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 338
- 270
Pale mnaposema Simba this time anaingia kwenye plays off hivo anaweza kutoka kwenye quorter final msijiweke kwenye asilimia 100 kwani hata kabla ya makundi tulicheza plays off na mbabane bila kuisahau team ngumu kabisa Nkana Fc
Nawakumbusha hii hatua tuliofikia kila mwana simba anaifurahia na inatosha kabisa kujivunia hivo hata tukiishia hapa ni sawa jambo tuna uchu wa kuvuka na kwa jinsi team yetu ilivyo hata nyie mnajua tunaweza kuvuka
Nawakumbusha simba ina confidence hasa baada ya kupata matokeo kwa team ngumu Africa...Al ahly...Saoura...As Vita
Pia kabla ya mechi yetu simba ni team pekee group D iliyochukua point 3 kwa saoura hata VITA CLUB hio kazi iliwashinda kule Congo
Nawakumbusha badae droo ya robo fainali inapangwa na hakuna team tunaiogopa kati za mazembe...esperance na hao wydad ila tunawaheshimu...na hii hata mngekua nyinyi vyura msingepaswa kuogopa hii hatua kwan bila shaka mngekua mmevuka kila aina ya majungu na fitina kama mlizotufanyia tangu mechi na mbabane
Nawakumbusha tarehe 24 ni mechi ya Taifa Stars na Uganda sio Simba Fc msije mkajisahau mkashangilia Uganda
Nawakumbusha mashabiki na wanachama wenu kuchangia team yenu kwan kwa msaada tuliowapatia hata mkiwa wa pili mtacheza champions league mwakani hivo kama mtanzania nawaombea zoezi lenu lifanikiwe ili msilitie aibu taifa hio mwakani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawakumbusha hii hatua tuliofikia kila mwana simba anaifurahia na inatosha kabisa kujivunia hivo hata tukiishia hapa ni sawa jambo tuna uchu wa kuvuka na kwa jinsi team yetu ilivyo hata nyie mnajua tunaweza kuvuka
Nawakumbusha simba ina confidence hasa baada ya kupata matokeo kwa team ngumu Africa...Al ahly...Saoura...As Vita
Pia kabla ya mechi yetu simba ni team pekee group D iliyochukua point 3 kwa saoura hata VITA CLUB hio kazi iliwashinda kule Congo
Nawakumbusha badae droo ya robo fainali inapangwa na hakuna team tunaiogopa kati za mazembe...esperance na hao wydad ila tunawaheshimu...na hii hata mngekua nyinyi vyura msingepaswa kuogopa hii hatua kwan bila shaka mngekua mmevuka kila aina ya majungu na fitina kama mlizotufanyia tangu mechi na mbabane
Nawakumbusha tarehe 24 ni mechi ya Taifa Stars na Uganda sio Simba Fc msije mkajisahau mkashangilia Uganda
Nawakumbusha mashabiki na wanachama wenu kuchangia team yenu kwan kwa msaada tuliowapatia hata mkiwa wa pili mtacheza champions league mwakani hivo kama mtanzania nawaombea zoezi lenu lifanikiwe ili msilitie aibu taifa hio mwakani
Sent using Jamii Forums mobile app