magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,204
- 3,336
Wakuu,
Umofia kwenu. Binadamu tumeumbwa kusahau. Nimeamua niwakumbushe utopolo aina ya mpinzani waliyenaye akiwa nyumbani. Kwenye mechi za makundi. Mechi ya Kwanza alicheza na Saint Etoil De Lupopo akashinda goli 3-0.
Mechi ya pili nyumbani alicheza Malumo Gallants, akashinda goli 2-0. Mechi ya tatu alicheza na Al Akhdar akashinda goli 4-1.
Kwenye Robo fainali, alicheza na As Far Rabat akashinda 2-0. Nusu fainali akacheza na Asec Mimosas akashinda 2-0. Hizo ni mechi 5 alizocheza nyumbani ameshinda zote, na ameruhusu goli moja tu huku yeye akifunga magoli 13.
Kumbuka yeye kuanzia ngazi ya makundi alikuwa hajashinda mechi yoyote ugenini, mechi pekee aliyoshinda ugenini ni hii aliyomfunga Utopolo. Naamini siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.
Umofia kwenu. Binadamu tumeumbwa kusahau. Nimeamua niwakumbushe utopolo aina ya mpinzani waliyenaye akiwa nyumbani. Kwenye mechi za makundi. Mechi ya Kwanza alicheza na Saint Etoil De Lupopo akashinda goli 3-0.
Mechi ya pili nyumbani alicheza Malumo Gallants, akashinda goli 2-0. Mechi ya tatu alicheza na Al Akhdar akashinda goli 4-1.
Kwenye Robo fainali, alicheza na As Far Rabat akashinda 2-0. Nusu fainali akacheza na Asec Mimosas akashinda 2-0. Hizo ni mechi 5 alizocheza nyumbani ameshinda zote, na ameruhusu goli moja tu huku yeye akifunga magoli 13.
Kumbuka yeye kuanzia ngazi ya makundi alikuwa hajashinda mechi yoyote ugenini, mechi pekee aliyoshinda ugenini ni hii aliyomfunga Utopolo. Naamini siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.