Nawakumbusha Yanga kuhusu wapinzani wao USM Alger na Mechi zao za nyumbani

Nawakumbusha Yanga kuhusu wapinzani wao USM Alger na Mechi zao za nyumbani

Tukukumbushe na wewe

Yanga tangu ameanza mpaka hapo alipofikia ni mechi Moja tu ndio amefungwa nyumbani.

Kwa hiyo hamna Cha ajabu hapo ,hata huyo USM anaweza kufungwa kwake
Mlikosa sanaa ninyi uto ila binafs namsifu mayele kwa mgoli ule maana kulikuwa na kijiji katikat yake ko alipoona upenyo tu akaunga moja kwa moja lakn ukija kuangalia magoli mliyofungwa wapinzani walikuwa free sanaa yaan mabeki walikuwa wanakabia macho tu na pia angalia juhudi za kipa yaani kapambania sanaa la sivyo mngekunywa nyingi sanaa...
 
Mlikosa sanaa ninyi uto ila binafs namsifu mayele kwa mgoli ule maana kulikuwa na kijiji katikat yake ko alipoona upenyo tu akaunga moja kwa moja lakn ukija kuangalia magoli mliyofungwa wapinzani walikuwa free sanaa yaan mabeki walikuwa wanakabia macho tu na pia angalia juhudi za kipa yaani kapambania sanaa la sivyo mngekunywa nyingi sanaa...
SAWA KOLO!TUNASHUKURU KWA USHAURI WA KIKOLO
 
Kazi ya rekodi ni kuvunjwa, USM Alger wamevunja rekodi ya Yanga kwa Mkapa sasa ni zamu ya Yanga kuvunja rekodi kwao na kubeba kombe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpira ni mchezo wa wazi sana wale jamaa wanavyokua na kasi wakiwa nyumbani na maumbo yao ambayo wachezaji 8 wana foot 6+huku yanga wawili ndio wana foot 6+ unaona kabisa kuna kazi kule Algeria,labda yangabwakabadilike sana aina yao ya uchezaji kule algeria ila mechi kama imeisha kwa mkapa. lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea
 
Tukukumbushe na wewe

Yanga tangu ameanza mpaka hapo alipofikia ni mechi Moja tu ndio amefungwa nyumbani.

Kwa hiyo hamna Cha ajabu hapo ,hata huyo USM anaweza kufungwa kwake
Sasa hapo inategemea huko away alikuwa anashinda kwa kucheza na nani. Kama ni Ruvu Shooting au Maji maji za huko angeachaje kushinda?
 
Hii salamu ya

"Umofia Kwenu"

Inatakiwa ipelekwe Bungeni ikaidhinishwe kuwa salamu ya Kitaifa.
 
20230530_154658.jpg
 
Back
Top Bottom