Nawaomba radhi wanawake wote niliowahi kuwaumiza (Single Mothers)

Nawaomba radhi wanawake wote niliowahi kuwaumiza (Single Mothers)

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Hatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.

Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).

Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,

Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.

EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.

I'M OUT
 
Hatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.

Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).

Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,

Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.

EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.

I'M OUT
Uliowaumiza sijui kama wapo hapa JF mkuu,ni vema ukawatafuta na ikiwezekana wapigie simu uwaombe radhi nadhani litakuwa jambo jema kuliko unafiki wa kuja mtandaoni!
 
Ila kweli...kuna mijitu mengine mama zao ni single mother yaani hajawahi kuolewa kabisa Ila wanavyowasimanga dada za watu
Ila kuwaoa subiri nifikirie mara 100 naweza nikapata jibu
 
Hatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.

Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).

Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,

Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.

EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.

I'M OUT
Umepatwa na nini kamanda
 
Hatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.

Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).

Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,

Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.

EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.

I'M OUT
Kweli mjanja mmoja, unafki umezaliwa nao 😄
 
EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.


Oa wewe mzee.
Kula kipago kimaadili, kikanuni, kiustaarabu, kimahaba, kihisia, kimakubaliano, kistaha, ni tendo la heshima kubwa sana. 🤩
 
Shida ya single maza kama huyo mwanaume yupo waliozaa nae ni shida na ujue kabisa kama utamuoa jiandae kurusha ngumi hawezi wakaachana na mzazi mwenzake watatengana kwa mda tu ipo siku unawakuta wanakumbushiana
 
Singo Maza ni Singo Maza tu hata kwetu wapo na hii haiondoi dhana ya kwamba hawafai kwa ndoa.

Mjanja ni Mnafiki kwerikweri.
 
Back
Top Bottom