Uliowaumiza sijui kama wapo hapa JF mkuu,ni vema ukawatafuta na ikiwezekana wapigie simu uwaombe radhi nadhani litakuwa jambo jema kuliko unafiki wa kuja mtandaoni!Hatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.
Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).
Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,
Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.
EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.
I'M OUT
π Aisee,Kwani walikulalamikia wapi na kwa nani?
Umepatwa na nini kamandaHatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.
Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).
Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,
Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.
EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.
I'M OUT
Kweli mjanja mmoja, unafki umezaliwa nao πHatimae Mjanja M1 nimeacha tabia ya hovyo ya kuwasakama Dada zetu waliozalia nyumbani.
Nachukua muda huu kuwaomba radhi kwa maneno yote ya hovyo niliyowahi kuyasema huko nyuma, najua niliwaumiza na kuwafanya mjione hamna thamani (Naomba radhi).
Najua wengi mtajiuliza ni nini haswa kilichofanya niwaombe radhi hawa dada na Mama zetu. Naomba mjue kuwa sababu uliyonifanya niombe radhi ni hii,
Nimeamua kuchagua upendo na kutohukumu watu, maana wanayoyapitia ni magumu na hawapaswi kuongelewa vibaya.
EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.
I'M OUT
Mkuu kama ndivyo acha kutumia I'd fake,Weka jina lako kamili mkuu ili hata kama hawapo hapa siku wakiingia hapa wajue ni wewe,lakini tofauti na hapo ni usanii tu unafanya!Nipo Real, na najua kuwa maandishi yangu humu yataishi miaka na mia
Usijipe umuhimu hiiivyoNimechagua upendo.
Kula kipago kimaadili, kikanuni, kiustaarabu, kimahaba, kihisia, kimakubaliano, kistaha, ni tendo la heshima kubwa sana. π€©EWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.
Oa wewe mzee.
ππ hii itakuwa poaEWE KIJANA! KAMA UNAUWEZO WA KUOA MWANAMKE MWENYE MTOTO OA.
Oa wewe mzee.
ππππ€Kwani walikulalamikia wapi
hahaha niaje mkuuππ hii itakuwa poa