Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Liutenant

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
590
Reaction score
899
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Ujinga mtupu.... Alikunyima nafasi?? Biashara zako ziliathirika ???magep yako yalipigwa pingu??? Chuma hakua anajali wee ni MwanaCCM au lah..

Baba wa watu alitaka Kila Mmoja afuate taratibu na sio Ujanja Ujanja tu.


Hata hivo nikuulize wee Mnafiki ... Je Hatuoni makubwa aloyafanya Kwa Nchi hiii?? Uliwah waza serikali kuhamia Dom? Vipi bwawa la JNHEPP lilowashinda wengi Kwa Presha za magharibi?? Vipi kuhusu SGR? ma Flyover kila Kona ? vipi kuhusu Daraja la Busisi na Madaraja makubwa makubwa ? Vipi husu Shirika letu la Ndege ?? Vipi Elimu Bure ???

Ebwanaaa tukaanza fanana na Ulaya.

Kama Hilo dogo, Mwamba akatuingiza uchumi wa Kati katikati ya Vita ya Corona??.



NINA KILA SABABU KWA MOYO WANGU MKUNJUFU, AKILI YAKO,,, KUKUSHAURI WEWE MTAFUTA TEUZI , JARIBU KUFICHA MATOPE YAKO KICHWAN.


WATANZANIA WANA MACHO ,WANA MASIKIO, WALIONA MATENDO YAKE, WALISIKIA MANENO YAKE NA AKAYATENDA .
 
Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.
Hiki ndio ulitaka kusema, unazunguka tu. Waliomjua Magufuli hakuna jipya alilokuja nalo.
 
Ile kanununi ya uongo ukisemwa sana hugeuka kuwa ukweli imekataa kwenye kumchafua JPM pamoja na mapungufu yake kuongezewa chumvi ili yanoge yanaposikilizwa na kusomwa. Najiuliza uko hai khalafu unashindana na marehemu aliye lala kaburini. Inaingia akilini kweli hii??!!.
 
Ile kanununi ya uongo ukisemwa sana hugeuka kuwa ukweli imekataa kwenye kumchafua JPM pamoja na mapungufu yake kuongezewa chumvi ili yanoge yanaposikilizwa na kusomwa. Najiuliza uko hai khalafu unashinda na marehemu aliye lala kaburini. Inaingia akilini kweli hii??!!.
Wamemchafua mpaka wamechoka, walifikiri kumchafua Magufuli ndio kutaondoa umaskini nchi hii. Sasa hivi watu wanapigika kila angle!
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Wewe ni chawa mbaya Sana tena kunguni wewe!
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Kwa tabia za Magufuli wote tulibaki midomo wazi kasoro:
Bashiru
Polepole
Makonda
Sabaya
Mzee wa Gwambina
Kalemani
Joyce Malomo
Angela Kairumi
Doto James na
Heri James.

R.I.H Magufuul!
 
Ujinga mtupu.... Alikunyima nafasi?? Biashara zako ziliathirika ???magep yako yalipigwa pingu??? Chuma hakua anajali wee ni MwanaCCM au lah..

Baba wa watu alitaka Kila Mmoja afuate taratibu na sio Ujanja Ujanja tu.


Hata hivo nikuulize wee Mnafiki ... Je Hatuoni makubwa aloyafanya Kwa Nchi hiii?? Uliwah waza serikali kuhamia Dom? Vipi bwawa la JNHEPP lilowashinda wengi Kwa Presha za magharibi?? Vipi kuhusu SGR? ma Flyover kila Kona ? vipi kuhusu Daraja la Busisi na Madaraja makubwa makubwa ? Vipi husu Shirika letu la Ndege ?? Vipi Elimu Bure ???

Ebwanaaa tukaanza fanana na Ulaya.

Kama Hilo dogo, Mwamba akatuingiza uchumi wa Kati katikati ya Vita ya Corona??.



NINA KILA SABABU KWA MOYO WANGU MKUNJUFU, AKILI YAKO,,, KUKUSHAURI WEWE MTAFUTA TEUZI , JARIBU KUFICHA MATOPE YAKO KICHWAN.


WATANZANIA WANA MACHO ,WANA MASIKIO, WALIONA MATENDO YAKE, WALISIKIA MANENO YAKE NA AKAYATENDA .
Nakazia
 
Ujinga mtupu.... Alikunyima nafasi?? Biashara zako ziliathirika ???magep yako yalipigwa pingu??? Chuma hakua anajali wee ni MwanaCCM au lah..

Baba wa watu alitaka Kila Mmoja afuate taratibu na sio Ujanja Ujanja tu.


Hata hivo nikuulize wee Mnafiki ... Je Hatuoni makubwa aloyafanya Kwa Nchi hiii?? Uliwah waza serikali kuhamia Dom? Vipi bwawa la JNHEPP lilowashinda wengi Kwa Presha za magharibi?? Vipi kuhusu SGR? ma Flyover kila Kona ? vipi kuhusu Daraja la Busisi na Madaraja makubwa makubwa ? Vipi husu Shirika letu la Ndege ?? Vipi Elimu Bure ???

Ebwanaaa tukaanza fanana na Ulaya.

Kama Hilo dogo, Mwamba akatuingiza uchumi wa Kati katikati ya Vita ya Corona??.



NINA KILA SABABU KWA MOYO WANGU MKUNJUFU, AKILI YAKO,,, KUKUSHAURI WEWE MTAFUTA TEUZI , JARIBU KUFICHA MATOPE YAKO KICHWAN.


WATANZANIA WANA MACHO ,WANA MASIKIO, WALIONA MATENDO YAKE, WALISIKIA MANENO YAKE NA AKAYATENDA .
Kila mtu anaruhusiwa kutafsiri mambo kwa namna anavyopenda. Mimi ninazo taarifa za ndani ndio maana nimeona hekima kuomba radhi.

Mtu yeyote anaweza kujenga chochote kwa kukopa hela. Hakuna intelligence yoyote hapo ndio maana hiyo miradi inaendelea kujengwa hata sasa kwasababu ni mipango ya serikali.

Tuambie wewe watu waliofanyiwa ukatili na kuuawa wanarejeshwaje?
 
Back
Top Bottom