Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Mungu alijua umekosea akafuta kwa uvutio wa israili
 
Mjinga mmoja wewe, Et aliyofanya zilikua sera za Jakaya

Nyambafu mkubwa .. IFIKE MAHALI MUWE NA KASUMBA YA KUPONGEZA WATU NA MAMBO YAO MAZURI WALOYAFANYA



hhizo sera za JK alishindwa kuzitimiza yeye mwenyewe??..

Kuhamia Dodoma ,au JNHEPP vilianzia Kwa JK ??.

Jipige kifuani Mara tatu ukijiambia "Mimi Pichukodada ni juaa, mpuuzi na mnafiki".
Weee! ndo Pusi kabisa!! hujui kitu!! niombe samahani!!! kuua ni nzuri? Mkurugenzi wa hapa unapoandikia leo (Melo) alimpa wkt mgumu! hivi unavo andika hapa leo alikuwa hataki sijui kwa nini umekuja humJF bila aibu???...yaani

Melo ana roho nzuri sana, ningekuwa mie wafuasi wa magu na wawekea kitufe msikanyage humu kamwe siwezi kumpongeza kilaza muuaji, nitashe yule kasoro yule!...amejaa damu za watu wasiyo kuwa na hatia...

tena ni wazi yuko kuzimu na weye utaenda huko huko! sasa Lisu yule Risasi zooote zile za nini?? ulikuwa ni uharibifu wa Risasi zetu bila sababu!

Alikuwa na haja gani ya kumuajili Tapeli yule Msiba (NGO)?? kwanza yuko wapi?? kasepa Lesotho!...Hakujua kutunga hoja za kukaa na wenzake!...muoga..mwizi wa kura Mungu akamtumbua!.....ivi unajiuizaga yuko wapi!

Dodoma kuhamia kule ili iweje labda???? bado hapa fai kwa sasa alikurupuka!!! si unaona mpaka sasa wanaenda na kurudi???
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Mungu alituamulia ugomvi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hayo ongea humu kwenye wanasiasa wachumia tumbo. Kasema haya mtaani kwa raia uone! Ukutane na mtu ametoka kwa Wakala ameliwa tozo alafu umpe hizi hadithi.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Sikusamehi.Kumbe ninyi ndiyo mlileta balaa nchini?
 
Hayo ongea humu kwenye wanasiasa wachumia tumbo. Kasema haya mtaani kwa raia uone! Ukutane na mtu ametoka kwa Wakala ameliwa tozo alafu umpe hizi hadithi.
Inategemeana na uelewa. Watu wengi wanafahamu magu alikuwa muongo sana na mkatili.
 
Hakuna asiejua hilo. Nyinyi mtaishi milele.
Tutakufa kweli siku yeyote lakini furaha yetu ni kuona DIKTETA amekufa kabla yetu. Dikteta ambaye January 2016 alisema "atakayebaki Dar es Salaam baada ya miezi 6 ni mwanaume"
 
Back
Top Bottom