Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaangalia ulipojikwaa wakati unatafuta hatua sahihi. Sidhani kama mfumo utarudia tena lile kosa.Kwahio huyu aliyopo sasa ni All Right ???!!!!!!
Nadhani huu muda tungeutumia kuganga ya Sasa wala sio Yaliyopita ambayo si Ndwele basi tungeisaidia nchi yetu...
Au tunangoja huyu akishatoka ndio tuanze kumzodoa ?!!!
Kwa tabia za Magufuli wote tulibaki midomo wazi kasoro:
Bashiru
Polepole
Makonda
Sabaya
Mzee wa Gwambina
Kalemani
Joyce Malomo
Angela Kairumi
Doto James na
Heri James.
R.I.H Magufuul!
It is a great thing that now we welcome opinion from every individual in the bid to build our democracy and society. These things were far above the reach of the long gone guy.JPM was a great man every day people are composing every kind of melodious tune to influence the public to dance but in vain; his impact is still intact and deeply felt by whoever was directly or indirectly exposed to his command therefore his legacy whether positive or negative shall prevail for a number of years ahead.
Kaa kimya kilaza we we! Ulilazimishwa kufoji vyeti? Fisi wewe!Kipimo cha upumbavu hapa Tanzania ni magufuli na wafuasi wake.
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.
Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.
Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.
Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Na wewe unatakiwa kulamba ardhi.Mhusika alishaenda.
Kaa kimya kilaza we we! Ulilazimishwa kufoji vyeti? Fisi wewe!
Na wewe ni vyeti feki?Yeye mwenyewe alikuwa na PhD fake, sasa sijui ni vyeti fake vipi alikuwa anapambana navyo.
Mleta mada ni mwanafunzi wa mirembe yupo likizo kwa sasa.Kwahiyo wewe usingempendekeza JPM, asingekuwa Rais kabisa?