Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Umetumwa na Ccm au ni wewe binafsi ?
 
Kwahio huyu aliyopo sasa ni All Right ???!!!!!!

Nadhani huu muda tungeutumia kuganga ya Sasa wala sio Yaliyopita ambayo si Ndwele basi tungeisaidia nchi yetu...

Au tunangoja huyu akishatoka ndio tuanze kumzodoa ?!!!
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Ulitakiwa ulambe ardhi maana umetulostisha Sana miaka 5 iliyopita na mabalaa tunayohangaika nayo sasa.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Asili ilichukua mkondo wake.. Ameshaondoka sasa maisha yaendelee hata tukiendelea kuishi kwa majuto haitatusaidia bali tuwe makini sasa na huko tuendako yasije kujirudia haya
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.

Hatuwezi kukusemehe kwa kutuletea yule kiongozi muovu. Tunamshukuru tu Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Ungeomba tukusamehe kabla sir God hajafanya yake....


Anyway.... "Ee Mungu, ikikupendeza mchukue huyu luteni kabla mwez hujaisha"

Wote tuseme Amen
 
Ujinga mtupu.... Alikunyima nafasi?? Biashara zako ziliathirika ???magep yako yalipigwa pingu??? Chuma hakua anajali wee ni MwanaCCM au lah..

Baba wa watu alitaka Kila Mmoja afuate taratibu na sio Ujanja Ujanja tu.


Hata hivo nikuulize wee Mnafiki ... Je Hatuoni makubwa aloyafanya Kwa Nchi hiii?? Uliwah waza serikali kuhamia Dom? Vipi bwawa la JNHEPP lilowashinda wengi Kwa Presha za magharibi?? Vipi kuhusu SGR? ma Flyover kila Kona ? vipi kuhusu Daraja la Busisi na Madaraja makubwa makubwa ? Vipi husu Shirika letu la Ndege ?? Vipi Elimu Bure ???

Ebwanaaa tukaanza fanana na Ulaya.

Kama Hilo dogo, Mwamba akatuingiza uchumi wa Kati katikati ya Vita ya Corona??.



NINA KILA SABABU KWA MOYO WANGU MKUNJUFU, AKILI YAKO,,, KUKUSHAURI WEWE MTAFUTA TEUZI , JARIBU KUFICHA MATOPE YAKO KICHWAN.


WATANZANIA WANA MACHO ,WANA MASIKIO, WALIONA MATENDO YAKE, WALISIKIA MANENO YAKE NA AKAYATENDA .
ACHA uongo weye mnafiki mkubwa aliyo fanya zilikuwa ni sera za awali zile za Jakaya!! zake zingeanza kuonekana awamu ya ilo fuatia ambayo ni sasa na ile amabayo angelithiwa jinga weye utamdanganya nani?????

Alipoona ngoma nzito mbele pressure ikapanda chaliii!!....pamoja na madaktari wooote hao
 
Mleta Mada wewe na Magufuli!! wooote Manzi ga Nyanza …..km Yuda alisamehewa na wewe tuta kusamehe!
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
JPM was a great man every day people are composing every kind of melodious tune to influence the public to dance but in vain; his impact is still intact and deeply felt by whoever was directly or indirectly exposed to his command therefore his legacy whether positive or negative shall prevail for a number of years ahead.
 
Katiba mpya ni muhimu sana
Umesamehewa. Na ijulikane wazi kuwa Magu hakuwahi kuwa mtu mzuri kwa uongozi tangu mwanzo. Ameacha majeraha makubwa yasiyofutika kwa miaka mingi na ni fundisho kubwa kwa wapiga kura na watanzania wote kuwa tunahitaji kurekebisha katiba tuliyonayo la sivyo wapo akina Magu wengine wanakuja. Nani anajua kuwa SSH hatawaumiza watanzania hata kama ni kwa staili nyingine, mbona tayari watu wanaumia kwa tozo zilizo kubwa na nyingi kila mahali? Katiba yetu inaruhusu viongozi kufanya wapendavyo na hakuna wa kuwapinga.
 
Andika wewe kuhusu huyu aliyopo sasa.
Kwahio huyu aliyopo sasa ni All Right ???!!!!!!

Nadhani huu muda tungeutumia kuganga ya Sasa wala sio Yaliyopita ambayo si Ndwele basi tungeisaidia nchi yetu...

Au tunangoja huyu akishatoka ndio tuanze kumzodoa ?!!!
 
Hayupo mwanadamu aliyemkamilifu. Mema ya JPM mwisho wa siku yatazidi mabaya yake ambayo yanaimbwa kila itwayo leo ilikufunika mazuri yote aliyoyafanya.
Unaota ndugu yangu,kutuletea matabaka Tanzania ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.
 
Back
Top Bottom