Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Mkuu Bora umekua mkweli kwa Sababu Kila kitu Cha Nchi yetu unakijua ukizingatia wewe ni WA mfumo .Ni kweli Magufuli amehatibu Sana nchi na haya matozo kuongezeka ni kutokana na sera zake mbovu za kuua uchumi ndiyo maana Hali ni ngumu na itatuchukua miaka mingi kuweka uchumi wetu vizuri.Pia kwa upande mwingine utawala wa Magufuli umekua kama Mwalimu kuja kutufundisha kama nchi tunatakiwa tuwe na mifumo imara ya kiendesha nchi .Katiba ipatikane ili nchi iende mbele.

Kwangu mimi utawala wa Magufuli ni kama umeua Kila kitu na inabidi tuanze upya na hii kwa Mujibu wa unabii wa kiutawala Tanzania nchi ipo Gizani na badae kidogo mwanga utakuja.
Asante kwa kuomba radhi.
 
Msimamo wangu ni ule ule , Hata mfanyeje JPM was the Hero of Africa . Jipendekezeni tu lkn alikuwa kipenzi kweli kweli wa Watanzania . Ukifanya Tafiti mitandaoni profile picture za Watanzania , JPM bado anadunda kwenye mioyo ya Watanzani . Siyo huyu wa kuyumbishwa yumbishwa tu na kundi la watu wachache .

Marais ambao hawatasahaulika Tanzania basi Nyerere na Magufuli . Sijawahi kusikia Wananchi wa Taifa fulani wanatamani kuongozwa na Rais wa Nchi nyingine ila kwa JPM imetokea .
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Wwe lazima utakua mpiga deal! Haya Sasa wwe endelea kupiga deal Sasa na Mama wala hana noma na Wapiga deal mradi pesa tu ije kitaa!!
 
NI busara kuchutama unapogundua umekosea ila ingekua vyema uyaseme haya wakati akiwepo ili naye tusikie upande wake. Nakupongeza kwa dhati
Ungependelea kama na mimi nipatwe na lakupatwa kwa kuongea kipindi kile?
 
nyie kunguni msaidieni mama laah sivyo 2025 atakuwa na wakati mgumu sana jukwaani.

mwambieni hakuna njia salama kwake zaidi ya ile aliyopita jpm.
 
kwa upande mwingine utawala wa Magufuli umekua kama Mwalimu kuja kutufundisha kama nchi tunatakiwa tuwe na mifumo imara ya kiendesha nchi. Katiba ipatikane ili nchi iende mbele
Hili ninaamini litafanyiwa kazi. Kwangu hii ndio kazi pekee mhe Samia alitakiwa kuifanya maana yeye alikuwa mhanga mkubwa kipindi kile.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
We sema tu ukweli alivyoingia madarakani ali athiri maslahi yako acha kuzungukazunguka.
 
Hayupo mwanadamu aliyemkamilifu. Mema ya JPM mwisho wa siku yatazidi mabaya yake ambayo yanaimbwa kila itwayo leo ilikufunika mazuri yote aliyoyafanya.
Achana nao hawa wa vyeti feki hawawezi kumpenda magu kamwe
 
Nilitarajia kuona namna ulivyomtambulisha Magufuli kwa mkapa nakumbana na uzi ulioandika kwa ajili ya mwaka 2015.

Hakuna logic yeyote katika uzi huu.
 
Nilitarajia kuona namna ulivyomtambulisha Magufuli kwa mkapa nakumbana na uzi ulioandika kwa ajili ya mwaka 2015.

Hakuna logic yeyote katika uzi huu.
Ni jambo jema kwamba uko huru kutoa maoni yako. Magufuli hakupenda maoni tofauti na yakwake.
 
Tambua pia kuwa umechangia ulemavu wa Lissu, kuumizwa vibaya kwa akina Mdude na kupotea kwa akina Saanane. Binafsi sina msamaha na wewe
Mkuu haya yanabakia kuwa makosa yake mwenyewe. Sidhani kama kuna mtu anayepaswa kubeba hukumu ya haya mambo isipokuwa yeye mwenyewe.
 
Hakuna lolote. Vitu pekee ambavyo Magufuli anamzidi Samia ni; Kuua wakosoaji, UDIKTETA, kudhibiti bunge, kuitisha Mahakama, kubana vyombo vya habari na kukurupuka kwenye maamuzi.

Umaskini ni laana. Unachukia matajiri na unasahau kuwa wao ndiyo waajiri wakubwa wa wafanyakazi kuliko Serikali.

Magufuli kwa upumbavu wake alimfilisi Yusuf Manji na akasahau kuwa Manji anaajiri watu 3,000 wanaopata mishahara moja kwa moja kupitia makampuni yake ya Quality Group na wengine zaidi ya 300,000 indirectly kupitia ununuzi wa mazao kama korosho, mbaazi na ufuta.

Hawa machinga wanaohangaika kuuza barabarani bidhaa kwa asilimia kubwa ni zao la upumbavu wa Magufuli. Kadri sekta binafsi itakavyoimarika ndivyo ajira zitatengenezwa.
Gunzi la moto alilokutia magufuli mataconi bado linakuumiza sana, hivi hauonagi aibu kupambana na marehemu !? shame on ptuuuuuuu i spit on you.
 
Back
Top Bottom