Mupwaaaaaa iimekuingiaaaa njoo usiku wa jamal malinzi na michae l wamburaaa tunataka wapiga kazi nwUnajua some times unaweza kuandika kitu ukakichukulia cha kawaida kinoma, kumbe chaweza kuwa na mtazamo mbaya kwa ukiyemwandika.. Utasemaje sijui historia ya soka vizuri wakati hata hatufahamiani, na hujui nini najua kuhusu soka.....
Kuwa mkubwa kiongozi... Kuwa na mitazamo tofauti sio kosa, ila kamwe usitumie maneno ya kejeli kwa mtu mwenye mtazamo tofauti na ww
Ningeshauri Kamati ya Uchaguzi ipitie huku JF Malinzi ameanza kampeni na kuwachafua wagombea wenzake kwa hii ID. Ali Mayayi nae muda mrefu nimeona slogan yao Salehe Jembe kabla ya hata hajachukua fomu.Hakuna mtu mwenye njaa na mpigaji kama Nyamlani,nenda TEFA katafute mafaili yake kwa wanaomjua.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Umelipwa bei gani ili kuua soka la Tanzania ?hahahaaaaaaa subiriii uukuze..tengenezAa na wewee deal
Mshaanza kulia kulia kabla kipenga hakijapulizwa,kunya anye kuku akinya bata kaharisha. Mnavyomchafua na kumpiga vita Malinzi na mpaka Uzi wa kumuondoa mmemuanzishia hapa hizo sio kampeni tena chafu kabisa. Na bado.Ningeshauri Kamati ya Uchaguzi ipitie huku JF Malinzi ameanza kampeni na kuwachafua wagombea wenzake kwa hii ID. Ali Mayayi nae muda mrefu nimeona slogan yao Salehe Jembe kabla ya hata hajachukua fomu.
Huu ni uvunjaji wa kanuni na sheria za uchaguzi.
Wewe kichwa chako ni nazi tena koroma.Malinzi= the most bogus sports leader ever elected in Tz.
Kabla ya Malinzi soka lilikuwa hai?Umelipwa bei gani ili kuua soka la Tanzania ?
Mpwaa hao wanatapata wanafahamu kazi kubwa ya Malinzi anayoifanya kwa mustakhabali wa soka letu sema wanasumbuliwa na wivu,chuki na ukabila.Mpwaaa nawachekaaa bureee hawa wacheza shooo wamatopeniii wakitaka kuitumia tbm ikashtuka tutafungiwa allah
Njooni muuone usiku wa [HASHTAG]#JAMALMALINZI[/HASHTAG]
Unakuza soka la vijana alafu vile vilabu ambavyo vingechukua hao vijana unavibeba beba vishinde, rejea ligi daraja la kwanza na mauza uza yake!Tatizo la watanzania tunataka output ionekane hapo hapo bila kujua kuwa kila kitu kinahitaji good foundation kwa maana ya kuwa sisi tunachokitaka kukiona ni Taifa Stars iwe inashinda kila match bila kusahau kuwa hatuna msingi mzuri wa timu za Watoto na vijana ambapo sasa Malinzi ndio amejikita huko.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Ndio .Kabla ya Malinzi soka lilikuwa hai?
Kulikuwa ma muelekeo!Kabla ya Malinzi soka lilikuwa hai?
Hayo ndio maneno yakuongea sio mna generalized eti Malinzi hafai,kila kitu kina changamoto zake na sisi wadau wa nje tunazozioana hizo changamoto ndio tuanatikiwa tutoe maoni yatu lakini tukisema tukae kimwa kukimtegea Malinzi akosee ili tupate lakusema hatutafika. Mambo kama hayo Malinzi ndio atadili nayo awamu yake ya pili.Unakuza soka la vijana alafu vile vilabu ambavyo vingechukua hao vijana unavibeba beba vishinde, rejea ligi daraja la kwanza na mauza uza yake!
Tengeneza vijana pia wawekee mazungira timu ziweze wachukua la sivyo aanzishe tff sports club!
Embu tueleze kwa kifupi.Ndio .
Muelekeo upi huo?Kulikuwa ma muelekeo!
Wewe nini,bashite?Malinzi sifuri kabisa. Tena zero la masikio
Hahaaaaa mchaga na mhaya wapi na wapi mm sio mnafiki mpwaaa ngoma inogile hii AJAMALIZA KAZI TULIOMTUMA JAMAL MALINZI PLS TUPE NAFASI HAOO MLIOWALETA WAMEKUJA KUOMBA NAFASI ZA NEEMA MKUU AKISHINDAAUmelipwa bei gani ili kuua soka la Tanzania ?
Unabishanaa na wacheza rede frank wape neno moja waendeMuelekeo upi huo?
Malinzi sifuri kabisa. Tena zero la masikio