nawaombeni wale wa mount meru wanipe msaada

Princeshizo

New Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
2
Reaction score
0
jamani ndugu zangu mimi ni mmoja kati ya wliochaguliwa kujiunga na mount meru university lakini kinachonipa mawazo nikwamba hadi leo sijaiyona tarehe ya usajili wala tarehe yakuanza masomo , hivi nikwamba hawajaweka au mimi mwenyewe nimeshindwa kuzigundua ziko wapi? hebu nisaidieni kwa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…